ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Japo umechelewa kusema ila sio mbaya hata sasa hivi[emoji4]. Katika watu ninao shukuru kuwafahamu ni wewe, rafiki yangu kipenzi. Nakuchuniaga ila huninunii hata[emoji847] nashukuru kwa hilo kipenzi and your always there kila ninapokuhitaji ahsante.
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu na mazuri. Nakupenda sana[emoji8][emoji8]
Happy Birthday once again Babe. Have a blast.[emoji1635][emoji898]
Davet
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu na mazuri. Nakupenda sana[emoji8][emoji8]
Happy Birthday once again Babe. Have a blast.[emoji1635][emoji898]
Davet