Happy birthday Demiss Chamdekoo a.k.a Miss chitchat 2018

Happy birthday Demiss Chamdekoo a.k.a Miss chitchat 2018

Yaani meza ilivyochafuka hadi raha. But umenikera kwny sekta ya chakula. Uliempa hiyo tenda nani? Maana nmetoka usingizini nilihisi nipo bar kilichonishitua ni chakula ndo kujitambua km npo jf
Hahahahha chakula vipi kina kasoro yeyote siku nyingine tufanye mabadiliko
 
Umeamua kunitenga, sawa tu...

Ngoja nilale tu nitakuwish asubuhi[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
Kisasi juu ya kisasi ulizani nimesahau muone vile nina kumbukumbu kama antena za redio
 
Hahaha! hapana hicho cha vijana wa dsm.

But Happy Birthday, kumbuka ukifika miaka 40 ni pm utakuwa wakati wng na mimi
Hahahahah nimecheka sana nimeangalia miaka yangu mpaka nifikishe 40 ni nusu ya miaka niliyonayooo sawaa tuombe uzimaaa
 
Back
Top Bottom