Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am good twin! And you ?Ooh au nesi wangu pia angewahi kidogo, si mbaya atleast nimepata twin kidogo[emoji1] how are you twin?
I am of 14/12 but I think the Zodiac sign until 21/12 is Sagittarius.Aquarias queen [emoji7]
Same ila yangu on 15th
Am doing alright too, tutasherehekea wapi birthday yetu ikifika Mungu akipenda? 😀
Sijui tuende pale nanii![emoji12] Ila tukutane chemba twin tufanye kikao ili ikifikia hiyo siku ni utekelezaji tuu.Am doing alright too, tutasherehekea wapi birthday yetu ikifika Mungu akipenda? [emoji3]
Mtafute Fid Q mmekaribiana yeye ni Agosti 13Duuh kwahiyo humu hakuna aliyezaliwa 12 August
Sawa twin tutaalika na members humuSijui tuende pale nanii![emoji12] Ila tukutane chemba twin tufanye kikao ili ikifikia hiyo siku ni utekelezaji tuu.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
31 JanuaryHuu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
10\3
Wale wa July 6 mpoo
Happybirthday mates
Thanks dearHBD in previous[emoji4]
mh sure??Twin
Umezaliwa na baba angu😂Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
Acha uongo kwakwer😄😄Inawezekana.najua kupenda sana hadi naogopa!sijui kucheat maana sijui kudanganya mi mkweli daima.mkwanja kila MTU anapenda mkwanja ndo maana asubuhi tunaacha stare he zote kusulubika tupate mkwanja
Hilo limepita twin! Manta ShakaSawa twin tutaalika na members humu
😀😀 twin umesema "Manta" nini?😀 umeandika kikorea
Hii nimetoka kujaribu nikaona hamna.JF waweke search function ya kwenye comments ili kutuepusha kusoma kurasa 283 tukitafuta comment mahsusi ya birthday mate. doh!😢🥲