Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Dina dina dina sitaki chambwa wima mimi nmeshakuambia jamani!! Its not good kumzungumzia kwenye upupu wangu jamani! Ebu niulize kuhusu other aspects of life basi! Au kama ni mahusiano iwe upande wangu usimuhusishe mkaka wawatu jamani hivi unataka nilie lol! Nimemkosea sana vyakutosha

Sawa mahondaw
Jibu basi hilii shem wetu yupo single now
La mwisho siulizi tenaa
Usipojibu najua uzushi tu huu
 
Ila makavel una ninii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mahondaw ni mjanja anatuchanganya hanyookii
Niliyo nayo mengi, mengine tuweke kando, anijibu hapa.. Kwahiyo kwenye ndoa yake mpaka sasa ameonesha alikuwa na michepuko miwili.. Sasa sijui kama wameishia hao hao, au michepuko ilikiwa zaidi ya hiyo idadi tajwa. [emoji23]
 
I don’t believe it was a fake relationship but kirusi was the reason why it ended and there were some signs here that they were going through difficult times before one or both made the decision to end their relationship.
Hebu funguka BAK

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Unaweza kuta wewe ndio mwanaume na Smart alikuwa dada, Happy birthday Mahondaw
 
Sawa hata Kenya walikufa maelfu,, mnatafuta legacy au!!!!
 
I don’t believe it was a fake relationship but kirusi was the reason why it ended and there were some signs here that they were going through difficult times before one or both made the decision to end their relationship.
BAK nasubiri majibu kwa kina😎
 
Don't take that too seriously

You just enjoy your life, juzi nimekusubiri Tiffany pale hadi saa 7 usiku na hukuja wakati nilikuagizia ndafu ya Mbuzi 😋🙊
No lazima niwe siriazi kwenye hili..sikubali 😅😅

Nilikwambia nataka ndafu ya nyau wewe ukanitengenezea ya mbuzi..umeona sasa..ndo mana sijaja
 
Dina dina dina sitaki chambwa wima mimi nmeshakuambia jamani!! Its not good kumzungumzia kwenye upupu wangu jamani! Ebu niulize kuhusu other aspects of life basi! Au kama ni mahusiano iwe upande wangu usimuhusishe mkaka wawatu jamani hivi unataka nilie lol! Nimemkosea sana vyakutosha
Pole dear[emoji22][emoji22]

Inaonesha huu uhusiano ulikuwa umependa kupindukia, I can feel it[emoji848][emoji22]


Let me stop it

Dina please[emoji848][emoji22]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom