watu sasa🤣Mchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yupi HornetSiyo vile dada yuleeee aliingilia kati?
JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona kama jimbo linakwenda ndugu yangu sijui utafanyajewatu sasa🤣
Sina hata ugomvi hata alipokuwa akihitaji Shari nilimkwepa yaani alikuwa hataki baby wake ataniane nami 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman samehe tu ni wivu hata mim nishagombana na mtu humu kisa bebe
Kawaida tu 😂😂 sasa nawe ushampata baby wa jf?Sina hata ugomvi hata alipokuwa akihitaji Shari nilimkwepa yaani alikuwa hataki baby wake ataniane nami 😂😂😂
Eee nakusaidia shoga anguWeeee niache
Nikisutwa utanisaidia?
Kawaida tu [emoji23][emoji23] sasa nawe ushampata baby wa jf?
Eee nakusaidia shoga angu
Hakika ni upofu dearWeee usinambie[emoji848]
Pole dear, mapenzi ni upofu sometimes
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
HaahaahaaHawa ambao ukiingia na ID mpya anakutongoza upyaa?
Mambo ya hela hayo..Sina hata ugomvi hata alipokuwa akihitaji Shari nilimkwepa yaani alikuwa hataki baby wake ataniane nami [emoji23][emoji23][emoji23]
Eeee hao haoHawa ambao ukiingia na ID mpya anakutongoza upyaa?
Sawa shoga anguNinunulie Bavaria
Huku kila kidume ana baby wake nakomaa na wa kwangu kitaa😂😂Kawaida tu 😂😂 sasa nawe ushampata baby wa jf?
HapanaEeee
Hata wa mtaan cha wote na tunapata wivu tu
Umejuaje[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]...huo wivu na mwanaume wa JF unaupatia wapi?
Wanaume wa humu JF ni cha wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app