BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Exactly there is no difference between what is going on kitaani na tunayoyasoma humu.
Eeee
Hata wa mtaan cha wote na tunapata wivu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeee
Hata wa mtaan cha wote na tunapata wivu tu
Hapana Best, nakuhakikishia haijui JFBut Best the evidence is all over the place you don’t have to search for it. ME wako anaishi dunia ipi haijui JF?
Aisee basi inabidi jf waweke sehemu mtu aseme hataki kudate ili msisumbuliweKawaida kwa viwembe vya JF
Kila skirt wanataka wapite nayo
Haaahaaa [emoji16]Ukicheza vibaya mnaweza onana kwa mara ya pili for the first time [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Ukicheza vibaya mnaweza onana kwa mara ya pili for the first time [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waooow Safi[emoji122][emoji122]My man hajui hata kitu kinaitwa JF
Whatsap nilimdownlodiaga mimi
Akajaribu insta akashindwa akafuta
Facebook nayo akawa anauliza jinsi ya kutumia yakamshinda akafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
My man hajui hata kitu kinaitwa JF
Whatsap nilimdownlodiaga mimi
Akajaribu insta akashindwa akafuta
Facebook nayo akawa anauliza jinsi ya kutumia yakamshinda akafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana Best, nakuhakikishia haijui JF
Kiufupi sio mtu wa mitandao yuko busy na kazi kazi
Mluga mluga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aisee basi inabidi jf waweke sehemu mtu aseme hataki kudate ili msisumbuliwe
Kuna utofauti mkuuExactly there is no difference between what is going on kitaani na tunayoyasoma humu.
Ni bahati kubwa maana JF ilivyo na umaarufu mkubwa hadi kwenye news inatajwa halafu mtu asiijue labda si mfuatiliaji wa habari.
Hapana Best, nakuhakikishia haijui JF
Kiufupi sio mtu wa mitandao yuko busy na kazi kazi
Mluga mluga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna utofauti mkuu
Wanaume wa humu mnafanana tabia
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
....karoho kanadunda kweli..🤣🤣Kumbe umeumia sana
I do believe wife wako umemuacha mahali so karoho kanakudunda[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Jamani eeh hii kitu sio ya kwako pekeako lazima ukubaliane na ukweli, kama nyie jinsi mnavyochovya kila mahali
Sisi tunawaangaliaga tu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unaambiwa leo Guardiola hata GG hajatoa daahNimesoma mwanzo mpk nilipoishia haya ndo maoni yangu wifi yangu;
Kwanza naomba mnisamehe na unisamehe kama ntakukwaza au kuwakwaza watu wengine na kama ntaonekana mnaafiki Niko tayari kupopolewa na nimekubali kubeba lawama maana imani yangu inaniambia hivi HARAMU NI HARAMU HATA KM WATU WOTE WATAIKUBALI
Pili;Umekosea mnooo tena sana sana,umemkosea mumeo,umemdhulumu haki zake na umemvunjia heshima yake kubwa sana tena haswaa...Wallahi nakuapia ulichokifanya si sahihi tubu sana hyo dhambi uliyofanya ni uchafu mnoo ktk maadili yetu haswaa kwa aliyeoa au kuolewa...ningekaa kimya kama labda ungenambia kua yuko may be jela au kakutelekeza hvyo ndo maana wamcheat mmeo japo ni dhambi pia kuzini lakini nigekaa kimya maana sisi sote ni wa mapungufu tumeumbwa ktkt udhaifu mkubwa sana wanaadamu..Mmeo wa ndoa yuko kazini anapambana anajitoa sadaka kwa ajili yake ina maana angekufa weye ungeolewa na smart au mnngejiachia full kipupe...Viatu vya mmeo hata kama hajui nimevaa havijantosha,nimeimajini ndo kaka yangu au mwanangu kafanyiwa hvyo nimejikuta nimejiskia vibaya sana sikufichi best and am sorry kwa hilo niwie radhi kama ntakukwaza
Tatu;Ulimkosea sanaaa tena sanaa smart maana umemdanganya kitu kikubwa mnoo alikua anachezea sharubu za Simba pasi na kujua na My dear hukumpenda maana ungempenda usingemuweka rehani kuponea kwenye tundu la sindano napata picha mmeo kajua sasa kua unacheat then angewafumania sijui hata ingekuaje..Usirudie tena huu utopolo mahondaw sio kwa smart wala kwa mtu mwingine yoyote yule katk maisha utakuja kupata majanga..Umecheza na feelings za hawa wakaka wawili vzr sana...Smart ukute alikua ana malengo na wewe maskini mwisho wa picha umechomoa betri..Hudhani kama utamfanya asiamini ktk mapenzi tena...na kama bado anaruhusu mpashe kiporo kwa sasa hakupendi tena ila anakuchezea tu na kua makini smart sio mjinga kiivyo atarudisha mkuki ulipotoka ukajikuta unapata aibu ya maisha yote.Acha kabisa kubebishana na smart kwa sasa focus kwenye ndoa yako na shukuru Mungu lilipita salama hili..
NNE;Mahondaw wewe ni mbinafsi sana maana hawa wakaka umewamiliki woteee wenzio tusoolewa tubaki na kina nani sasa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwee!ukaona my bro amegombana na bebi wake ukaenda kuchomoa betri kaaahh;Dada kwio sana aseehhh(Utani kidogo bwana weee) wee . Punguza tamaa rafiki yangu itakugharimu..
Heshimu ndoa yako sisi ni mabinti Sayuni wa Kitanzani tuna maadili na miiko yetu
Tano umemkosea sanaa Mungu maana umeonesha kibri cha waaazi kabisa kuanima hadharani uchafu ulomfanyia mmeo..hicho ni Kibri na Mungu huchukia Sana'a kibri na hapendi kibri haswaa...Tunaambiwa hivi kila mtu anatenda dhambi lakini waweza Fanya dhambi kimyakimya Ukatubu Mungu akasamehe lakini ukidhihirisha INA maana kama umehalalisha na kupitia hiyo ujue waweza beba msalaba maana akili hazifanani wapo watakaoiga pia huu ujinga au kuuusifia na wakakuona shujaa hapo tayari utakua una wafuasi au watu wataona kumbe inawezekana ngona nifanye na miye...!!!hvyo naimani umezaliwa kwenye misingi ya dini bassi naomba utubid dhambi zako na usithubutu tena kujifakharisha uchafu huu...Mungu ni mwingi wa msamaha na mwingi wa huruma.Rudi kwenye mstari kipenzi
Tano;Badilika,Badilika,Badilika,nakuambia kama mwanamke mwenzangu wa kitanzania,mama wa watoto wa kitanzania,mke wa mtu...Heshima ya mume mke best!!!Nimekuambia kwa sababu nakupenda sanaa tena sanaa...nsamehe sana kama ntakua nimekukwaza au kuingilia maisha yako binafsi naomba radhi sanaa na wengins wote niliokwaza mnisamehe...!!!
Mwisho nyio wanawake mlioolewa kama hamuwapendi hao kaka zetu muwaache kuliko kufanya mambo meusi meusi mnatudhalilisha wanawake wote tunaonekana wa hovyooo....!!!
mbona tupo wengine hatujawahi kutongozaHawa ambao ukiingia na ID mpya anakutongoza upyaa?
sasa kama tunapigwa matukio humu negativity tuzipeleke Facebook?Hapana
Wa mtaani namdhibiti, wangu hata jf haijui kama inaexist humu duniani which makes me happier[emoji848]
Wanaume wa humu wamelishana mautopoloo kuhusu wanawake yaan ni negativity tu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
never say never madameAaah hapana wacha tukomae na washamba watu wa mtaani huko
huu ni uzushiKawaida kwa viwembe vya JF
Kila skirt wanataka wapite nayo
chief wapo watu hawajui kama jf ina pm mpaka chit chat wanajua ni chombo cha habari kama nipasheBut Best the evidence is all over the place you don’t have to search for it. ME wako anaishi dunia ipi haijui JF?