Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Basi zama pm uwahi nishaona sehem jimbo linanyakuliwa hivi hivii
Kwani lipp wazi?[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi zama pm uwahi nishaona sehem jimbo linanyakuliwa hivi hivii
Ukija na ID mpya humu unatongozwa upyaa na walewaleUmejuaje
Yes ni kweli kabisaHapana
Wa mtaani namdhibiti, wangu hata jf haijui kama inaexist humu duniani which makes me happier[emoji848]
Wanaume wa humu wamelishana mautopoloo kuhusu wanawake yaan ni negativity tu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unaepusha mbawa zako sio...Huku kila kidume ana baby wake nakomaa na wa kwangu kitaa😂😂
Lishachukuliwa tayari???Kwani lipp wazi?[emoji28][emoji28][emoji28]
Eeee hao hao
Lakini wanawake kutongozwa si kawaida wajameniiUkija na ID mpya humu unatongozwa upyaa na walewale
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lishachukuliwa tayari???
Ila Dina[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Yupi Hornet
Halaf weweeeeMimi Kama wewe hatujui[emoji2210][emoji2210]
😂😂 jamen ni utani tu wasichukulie siriazIla Dina[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lakini wanawake kutongozwa si kawaida wajamenii
Very GoodHuku kila kidume ana baby wake nakomaa na wa kwangu kitaa[emoji23][emoji23]
Hapana
Wa mtaani namdhibiti, wangu hata jf haijui kama inaexist humu duniani which makes me happier[emoji848]
Wanaume wa humu wamelishana mautopoloo kuhusu wanawake yaan ni negativity tu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukija na ID mpya humu unatongozwa upyaa na walewale
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli...lkn huyu nimemkagua right left center...haijui kabisa[emoji848]Yes ni kweli kabisa
Humu panaudhi sana kuna muda
Lakin kumbuka kuna watu wanatumia jf kisiri huwezi jua
Nakazia[emoji122]Aaah hapana wacha tukomae na washamba watu wa mtaani huko
Mi nafikiri ngoja nimuache aibiwe tuu..siku akiwa lonely na apply pie ya 22/7😅😅Basi zama pm uwahi nishaona sehem jimbo linanyakuliwa hivi hivii
Imagine this[emoji848]Kawaida kwa viwembe vya JF
Kila skirt wanataka wapite nayo
But Best the evidence is all over the place you don’t have to search for it. ME wako anaishi dunia ipi haijui JF?