Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Nimesoma mwanzo mpk nilipoishia haya ndo maoni yangu wifi yangu;
Kwanza naomba mnisamehe na unisamehe kama ntakukwaza au kuwakwaza watu wengine na kama ntaonekana mnaafiki Niko tayari kupopolewa na nimekubali kubeba lawama maana imani yangu inaniambia hivi HARAMU NI HARAMU HATA KM WATU WOTE WATAIKUBALI
Pili;Umekosea mnooo tena sana sana,umemkosea mumeo,umemdhulumu haki zake na umemvunjia heshima yake kubwa sana tena haswaa...Wallahi nakuapia ulichokifanya si sahihi tubu sana hyo dhambi uliyofanya ni uchafu mnoo ktk maadili yetu haswaa kwa aliyeoa au kuolewa...ningekaa kimya kama labda ungenambia kua yuko may be jela au kakutelekeza hvyo ndo maana wamcheat mmeo japo ni dhambi pia kuzini lakini nigekaa kimya maana sisi sote ni wa mapungufu tumeumbwa ktkt udhaifu mkubwa sana wanaadamu..Mmeo wa ndoa yuko kazini anapambana anajitoa sadaka kwa ajili yake ina maana angekufa weye ungeolewa na smart au mnngejiachia full kipupe...Viatu vya mmeo hata kama hajui nimevaa havijantosha,nimeimajini ndo kaka yangu au mwanangu kafanyiwa hvyo nimejikuta nimejiskia vibaya sana sikufichi best and am sorry kwa hilo niwie radhi kama ntakukwaza

Tatu;Ulimkosea sanaaa tena sanaa smart maana umemdanganya kitu kikubwa mnoo alikua anachezea sharubu za Simba pasi na kujua na My dear hukumpenda maana ungempenda usingemuweka rehani kuponea kwenye tundu la sindano napata picha mmeo kajua sasa kua unacheat then angewafumania sijui hata ingekuaje..Usirudie tena huu utopolo mahondaw sio kwa smart wala kwa mtu mwingine yoyote yule katk maisha utakuja kupata majanga..Umecheza na feelings za hawa wakaka wawili vzr sana...Smart ukute alikua ana malengo na wewe maskini mwisho wa picha umechomoa betri..Hudhani kama utamfanya asiamini ktk mapenzi tena...na kama bado anaruhusu mpashe kiporo kwa sasa hakupendi tena ila anakuchezea tu na kua makini smart sio mjinga kiivyo atarudisha mkuki ulipotoka ukajikuta unapata aibu ya maisha yote.Acha kabisa kubebishana na smart kwa sasa focus kwenye ndoa yako na shukuru Mungu lilipita salama hili..

NNE;Mahondaw wewe ni mbinafsi sana maana hawa wakaka umewamiliki woteee wenzio tusoolewa tubaki na kina nani sasa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwee!ukaona my bro amegombana na bebi wake ukaenda kuchomoa betri kaaahh;Dada kwio sana aseehhh(Utani kidogo bwana weee) wee . Punguza tamaa rafiki yangu itakugharimu..
Heshimu ndoa yako sisi ni mabinti Sayuni wa Kitanzani tuna maadili na miiko yetu

Tano umemkosea sanaa Mungu maana umeonesha kibri cha waaazi kabisa kuanima hadharani uchafu ulomfanyia mmeo..hicho ni Kibri na Mungu huchukia Sana'a kibri na hapendi kibri haswaa...Tunaambiwa hivi kila mtu anatenda dhambi lakini waweza Fanya dhambi kimyakimya Ukatubu Mungu akasamehe lakini ukidhihirisha INA maana kama umehalalisha na kupitia hiyo ujue waweza beba msalaba maana akili hazifanani wapo watakaoiga pia huu ujinga au kuuusifia na wakakuona shujaa hapo tayari utakua una wafuasi au watu wataona kumbe inawezekana ngona nifanye na miye...!!!hvyo naimani umezaliwa kwenye misingi ya dini bassi naomba utubid dhambi zako na usithubutu tena kujifakharisha uchafu huu...Mungu ni mwingi wa msamaha na mwingi wa huruma.Rudi kwenye mstari kipenzi

Tano;Badilika,Badilika,Badilika,nakuambia kama mwanamke mwenzangu wa kitanzania,mama wa watoto wa kitanzania,mke wa mtu...Heshima ya mume mke best!!!Nimekuambia kwa sababu nakupenda sanaa tena sanaa...nsamehe sana kama ntakua nimekukwaza au kuingilia maisha yako binafsi naomba radhi sanaa na wengins wote niliokwaza mnisamehe...!!!

Mwisho nyio wanawake mlioolewa kama hamuwapendi hao kaka zetu muwaache kuliko kufanya mambo meusi meusi mnatudhalilisha wanawake wote tunaonekana wa hovyooo....!!!
Yaani lile vumbi la upepo na ukame wa El Geneina ,Abu Kutni na Loubouna....afu bibie anatamba tu na mcheps back home daaah....ukisikia mtu anang'olewa kucha zote nzimanzima kwa MENO usishangae....japo eti Witnessj anaturai TUVUMILIE...eti nasi wanaume TWATAFUNA pembeni 🤣🤣🤣

Mke AUMA nyie.......
Kutafuniwa kwauma nyie....

Ayaaaa Dec 31(anajua Mahondaw) si mbali in Shaa Allah.....
 
Aisee kweli mapenzi ya mitandaoni ni mauongo uongo mwingi......yaani mlivyokuwa mnarusha roho watu humu tukajua nyinyi ni '18 Bonnie and clyde wa kizazi kipya....Umetufunza kitu humu kuhusu mademu......Ni kweli hapo imeisha hiyo haiwezi tutokea mkarudiana maana wewe ndio uliyekoroga ila kama ingekuwa smart ndio kalikoroga mngerudiana.

Ngoja smart aje kutupa Muongozo ila mme wako huyo msudani akija kujua kwamba naye ulimcheat si anaweza pia akakupiga chini? au nayo umetupiga kamba? Kwa maelezo uliyoyatoa huyo msudani lazima atakujua ndio wewe.

Cc: Smata411 and mahandazi.
 
Nimesoma mwanzo mpk nilipoishia haya ndo maoni yangu wifi yangu;
Kwanza naomba mnisamehe na unisamehe kama ntakukwaza au kuwakwaza watu wengine na kama ntaonekana mnaafiki Niko tayari kupopolewa na nimekubali kubeba lawama maana imani yangu inaniambia hivi HARAMU NI HARAMU HATA KM WATU WOTE WATAIKUBALI
Pili;Umekosea mnooo tena sana sana,umemkosea mumeo,umemdhulumu haki zake na umemvunjia heshima yake kubwa sana tena haswaa...Wallahi nakuapia ulichokifanya si sahihi tubu sana hyo dhambi uliyofanya ni uchafu mnoo ktk maadili yetu haswaa kwa aliyeoa au kuolewa...ningekaa kimya kama labda ungenambia kua yuko may be jela au kakutelekeza hvyo ndo maana wamcheat mmeo japo ni dhambi pia kuzini lakini nigekaa kimya maana sisi sote ni wa mapungufu tumeumbwa ktkt udhaifu mkubwa sana wanaadamu..Mmeo wa ndoa yuko kazini anapambana anajitoa sadaka kwa ajili yake ina maana angekufa weye ungeolewa na smart au mnngejiachia full kipupe...Viatu vya mmeo hata kama hajui nimevaa havijantosha,nimeimajini ndo kaka yangu au mwanangu kafanyiwa hvyo nimejikuta nimejiskia vibaya sana sikufichi best and am sorry kwa hilo niwie radhi kama ntakukwaza

Tatu;Ulimkosea sanaaa tena sanaa smart maana umemdanganya kitu kikubwa mnoo alikua anachezea sharubu za Simba pasi na kujua na My dear hukumpenda maana ungempenda usingemuweka rehani kuponea kwenye tundu la sindano napata picha mmeo kajua sasa kua unacheat then angewafumania sijui hata ingekuaje..Usirudie tena huu utopolo mahondaw sio kwa smart wala kwa mtu mwingine yoyote yule katk maisha utakuja kupata majanga..Umecheza na feelings za hawa wakaka wawili vzr sana...Smart ukute alikua ana malengo na wewe maskini mwisho wa picha umechomoa betri..Hudhani kama utamfanya asiamini ktk mapenzi tena...na kama bado anaruhusu mpashe kiporo kwa sasa hakupendi tena ila anakuchezea tu na kua makini smart sio mjinga kiivyo atarudisha mkuki ulipotoka ukajikuta unapata aibu ya maisha yote.Acha kabisa kubebishana na smart kwa sasa focus kwenye ndoa yako na shukuru Mungu lilipita salama hili..

NNE;Mahondaw wewe ni mbinafsi sana maana hawa wakaka umewamiliki woteee wenzio tusoolewa tubaki na kina nani sasa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwee!ukaona my bro amegombana na bebi wake ukaenda kuchomoa betri kaaahh;Dada kwio sana aseehhh(Utani kidogo bwana weee) wee . Punguza tamaa rafiki yangu itakugharimu..
Heshimu ndoa yako sisi ni mabinti Sayuni wa Kitanzani tuna maadili na miiko yetu

Tano umemkosea sanaa Mungu maana umeonesha kibri cha waaazi kabisa kuanima hadharani uchafu ulomfanyia mmeo..hicho ni Kibri na Mungu huchukia Sana'a kibri na hapendi kibri haswaa...Tunaambiwa hivi kila mtu anatenda dhambi lakini waweza Fanya dhambi kimyakimya Ukatubu Mungu akasamehe lakini ukidhihirisha INA maana kama umehalalisha na kupitia hiyo ujue waweza beba msalaba maana akili hazifanani wapo watakaoiga pia huu ujinga au kuuusifia na wakakuona shujaa hapo tayari utakua una wafuasi au watu wataona kumbe inawezekana ngona nifanye na miye...!!!hvyo naimani umezaliwa kwenye misingi ya dini bassi naomba utubid dhambi zako na usithubutu tena kujifakharisha uchafu huu...Mungu ni mwingi wa msamaha na mwingi wa huruma.Rudi kwenye mstari kipenzi

Tano;Badilika,Badilika,Badilika,nakuambia kama mwanamke mwenzangu wa kitanzania,mama wa watoto wa kitanzania,mke wa mtu...Heshima ya mume mke best!!!Nimekuambia kwa sababu nakupenda sanaa tena sanaa...nsamehe sana kama ntakua nimekukwaza au kuingilia maisha yako binafsi naomba radhi sanaa na wengins wote niliokwaza mnisamehe...!!!

Mwisho nyio wanawake mlioolewa kama hamuwapendi hao kaka zetu muwaache kuliko kufanya mambo meusi meusi mnatudhalilisha wanawake wote tunaonekana wa hovyooo....!!!
Kidole gumba[emoji106]

Ila uliyoyasema ukiwa unayaishi kweli na ww mkuu, aiseee Mungu akubariki[emoji23][emoji23]

Kidogo nimepata moyo kumbe hadi nyie mnaumia aisee kwa matukio mnayofanyaga[emoji23]
 
Ukitaka kudata ubongo sasa ni kulazimisha kichwa kuelewa hii story[emoji23][emoji23]

Ila haya maelezo aliyochukuliwa Huyu mwanamama na aliyoyatoa kama ni kweli aisee ni msala kabisa[emoji1784][emoji1784]
 
Shoo haya maneno mbona ivi amekufanyeje mkaka wawatu mpaka utumie lugha mbaya hivi?? He's very rich gentleman handsome muelewa sana asiekuwa na maneno makuu wala vurugu namtu, walaa si mzee kijana tu ambae hata wewe ukimuona nakumjua vizuri mate lazima yakutoke!
mahondaw zingatia nilipobold tafwazali🤣unahitaji adhabu kali mno haiwezekani utuumizie smart wetu

Smart911 na sifa zote hizo alizotoa bibie hapo juu bado unaumizwa!!☹️☹️☹️nimesikitishwa kwa kina sana

Ila na sisi wanawake bhna..ona smart wa watu kakaa kimyaaa sisi sasa tunavyoruka ruka utafikiri popcorn 😏😏

Shikamoo mapenzi 😢😢
 
Hujasahau ya Ufoo Saro eeh, jamaa lipo huko Darfur linahenyeka wewe unakitembeza huku, shauri yako. Halafu ndio umeyaweka mahusiano wazi as if hujaolewa, at least kuwe na usiri...dadeq mtauwawa na waume zenu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom