Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Basi tuwaektie, alafu niwe mzee wa "wanakuja kukupa muongozo"😝😝Mambo babe, but don't call me babe unless you mean it, sitaki mambo ya Mahondaw mimi😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tuwaektie, alafu niwe mzee wa "wanakuja kukupa muongozo"😝😝Mambo babe, but don't call me babe unless you mean it, sitaki mambo ya Mahondaw mimi😀😀
Inamuaga Sana yaani acha mzeeeMjeda yuko zake darfuri huku nyuma mabaharia wanamtafunia [emoji23],halafu unawaweza kukuta demu kadi ya bank anayo yeye akienda kutoa pesa anaenda na mchepuko wake [emoji23]
Hahahahhaha nimecheka hapo @witnesj alipoluuliza "eti smart Ni mtu mzima kiaheti"Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
Angalau duh!Hapana wanaume sio mbwa bana we love them[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji177]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Irudiwe irudiwe hata Mimi sikuwepo irudiwe nasema irudiweYaan leo smart haji hapa kabisa kweli mashemeji tunahangaika hapa hii couple irudiwee irudiwe
Unapenda umbea
Wewe kisa chako kile nakikumbuka [emoji1]Mahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekane
Ile ya zamani au nna matukio mengi 😂Wewe kisa chako kile nakikumbuka [emoji1]
Ila nakausha [emoji1787][emoji1]
Huyo Mimi niliashawahi ona Hadi nywele zake za kipilipili[emoji1]Ila sijasahau mkono wako niliowahi kuuona humu. Mkono bomba sana na wenye mikono kama ule wanakuwa bomba sana.
Hahahahah watu wako humu kitambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe na wewe una utaratibu huo? Unakuta mtu ana new ID halafu anajua mambo ya humu kibao!
Hahahahahah nimecheka ulivyomjibu nimepaliwa hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1610]
Yaani Kuna vitu hupaswa vitamka hadharani hasa kifo chako .Unapenda uzee eh? Shauri yako ukaribishe tu haukawii kupiga hodi. Yule dhalimu alikuwa busy na kifo. Kifo kifo kifo mimi siogopi kifo kifo kifo sijui Mungu akinichukua nikienda mbinguni hadi kifo kikasikia hakikufanya ajizi. Siku hizi wanamuita MWENDAZAKE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ananitajia usenge wa miaka kenda nyuma huko watu tushasahauHahahahahah nimecheka ulivyomjibu nimepaliwa hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaaah
Sina kipiripiri kama chako toka hapaHuyo Mimi niliashawahi ona Hadi nywele zake za kipilipili[emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daahNakwambia kipindi cha CC fulani tuliteseka nakumbuka huyu bibie aliwahi kuniandikia kwenye comment sina bahati ndio maana sina baby Jf [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungekuwa una na "mkonge"Kawaida kwa viwembe vya JF
Kila skirt wanataka wapite nayo
Daah Jamaa bado Yuko industrial age watu wako information age[emoji1787]My man hajui hata kitu kinaitwa JF
Whatsap nilimdownlodiaga mimi
Akajaribu insta akashindwa akafuta
Facebook nayo akawa anauliza jinsi ya kutumia yakamshinda akafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
Unashangilia ili mjinafasi na watu wenu mitandaoni kisa maneno wetu hawaijui mitandao