Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Mjeda yuko zake darfuri huku nyuma mabaharia wanamtafunia [emoji23],halafu unawaweza kukuta demu kadi ya bank anayo yeye akienda kutoa pesa anaenda na mchepuko wake [emoji23]
Inamuaga Sana yaani acha mzeee

Ndio watu wanapiga na kuua halafu tunaonekana wanaume makatili kumbe baadhi ya wanawake hamnazo kabisa[emoji1787]
 
Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
Hahahahhaha nimecheka hapo @witnesj alipoluuliza "eti smart Ni mtu mzima kiaheti"

Mtu mzima kiaheti yukoje[emoji1787]
 
Happy Birthday

Maswali ni mengi
Lakini ngoja nikaushe tu
Mana wengine sio wabishi[emoji23]
 
Kumbe na wewe una utaratibu huo? Unakuta mtu ana new ID halafu anajua mambo ya humu kibao!
Hahahahah watu wako humu kitambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tangu enzi za akina bishanga na mwita
 
Unapenda uzee eh? Shauri yako ukaribishe tu haukawii kupiga hodi. Yule dhalimu alikuwa busy na kifo. Kifo kifo kifo mimi siogopi kifo kifo kifo sijui Mungu akinichukua nikienda mbinguni hadi kifo kikasikia hakikufanya ajizi. Siku hizi wanamuita MWENDAZAKE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kuna vitu hupaswa vitamka hadharani hasa kifo chako .

Mwendazake Kama alikuwa anajitabiria
 
Nakwambia kipindi cha CC fulani tuliteseka nakumbuka huyu bibie aliwahi kuniandikia kwenye comment sina bahati ndio maana sina baby Jf [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah
 
My man hajui hata kitu kinaitwa JF
Whatsap nilimdownlodiaga mimi

Akajaribu insta akashindwa akafuta
Facebook nayo akawa anauliza jinsi ya kutumia yakamshinda akafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
Daah Jamaa bado Yuko industrial age watu wako information age[emoji1787]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom