Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
What smata ,mahandazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wtf!!?[emoji1][emoji1787]
 
Kweli ukweli mnaujua wawili tu. Umeamua kuchangamsha jukwaa bibie! Hakuna cha mume hapo na hakuna cha ndoa ingawa una watoto. Kagera ulikuwepo zamani Mleba ulipojifunza Katerero si sasa. Happy Birthday kimwana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mlio kuwa na baby humu kuna kipindi mlikuwa mnajishauwa mlijikuta nani sijui kuna I'd ya kike ilishawahi nijibu mbaya kisa nilikuwa na bebishana na mchepuko wake maana jamaa nasikia ana familia kwa sasa kaachwa namuona kwenye uzi huu anavyojifariji.
Tubebishane mimi na wewe kisiriasi siriasi basi, ama vipi!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…