Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
jamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.
Mchuchu wake wa humu?

Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?

Kaswali ka mwisho dear..

Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
jamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.
Baada ya kuona wamekakorogana na mchuchu wake ukaamua umpokee ili kumrusha roho mwenzio hali ya kuwa una ndoa yako so akitokea mwingine Jf kakorogana ukotayari kumpokea😂😂😂😂(ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE)
 
Asante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
Ooooh!Mlifahamiana kiJF na kuachana kiJF

Hakuna jambo real lilitokea nje ya JF?mlikuwa too cute to be in a fake relationship jamani 😔😔
 
Baada ya kuona wamekakorogana na mchuchu wake ukaamua umpokee ili kumrusha roho mwenzio hali ya kuwa una ndoa yako so akitokea mwingine Jf kakorogana ukotayari kumpokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE)
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

mahondaw

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom