Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Naomba tukazie hapo hapo aseme tu hatutaki ugomvi huko baadae 😂😂Alikukula mara ngapi...jus try to remember [emoji39][emoji39]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba tukazie hapo hapo aseme tu hatutaki ugomvi huko baadae 😂😂Alikukula mara ngapi...jus try to remember [emoji39][emoji39]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😂😂 wity usitoke mpaka tupate majibuSi ajabu na hapa unapigwa kamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mchuchu wake wa humu?jamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.
Amen!Kuna ID nikiziona nafarijika sana maana naikumbuka chitchat ya kipindi cha nyuma
Hongera kwa kuongezea miaka
Mungu akuongezee na hekima busara na akupe mapambano yanayo fanana na uwezo wako na akupe hitaji LA Moyo wako kwa wakati
Duuuh ha ha ha 🤣🤣Mchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wee wee wee acha utani[emoji854][emoji854]Kwa hiyo smart hakula nunu yako kabisa [emoji2957][emoji2957] wee
Haahaa haaaNaomba tukazie hapo hapo aseme tu hatutaki ugomvi huko baadae [emoji23][emoji23]
Aamin !Heri ya kuzaliwa rafiki. Allah akupe maisha marefu yenye kila la kheri.
Siku zote Emmy penda sana veve. 😘
Hahaha haaa[emoji23][emoji23] wity usitoke mpaka tupate majibu
Na aseme kwa smart jimbo lipo wazi watu wajimwaye kule au sio
Ugomvi gani tena jamani 😂Dogo unaaanza ugomvi
Baada ya kuona wamekakorogana na mchuchu wake ukaamua umpokee ili kumrusha roho mwenzio hali ya kuwa una ndoa yako so akitokea mwingine Jf kakorogana ukotayari kumpokea😂😂😂😂(ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE)jamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.
Ooooh!Mlifahamiana kiJF na kuachana kiJFAsante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
Hili nalo natakiwa kujibu mimi? Jamani sitaki kesi pia kwasasa tuzungumzie yanihusuyo mimi tu!Na katuvuruga kweli huyu mtoto wa mjini[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mmmhhh[emoji849][emoji848][emoji848][emoji848]Ooooh!Mlifahamiana kiJF na kuachana kiJF
Hakuna jambo real lilitokea nje ya JF?mlikuwa too cute to be in a fake relationship jamani [emoji17][emoji17]
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Baada ya kuona wamekakorogana na mchuchu wake ukaamua umpokee ili kumrusha roho mwenzio hali ya kuwa una ndoa yako so akitokea mwingine Jf kakorogana ukotayari kumpokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE)
Heshima kwako pia mdada![emoji120]
Ona dear, funguka watu waache miswali yao ya ajabu ajabu humuHili nalo natakiwa kujibu mimi? Jamani sitaki kesi pia kwasasa tuzungumzie yanihusuyo mimi tu!
Unanivunja mbavu huku unavyonigunia leo 🤣
Mchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app