Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!

Kwan smart nae yupo Bk au dar ?
 
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Duuuh 🤣🤣🤣

Kwa mfano ulioutoa...kumbe mali zetu watu wa mitandaoni huwa wanajibwedea tu....🤣

Maskini shemeji yangu kwako...hwenda anapitia hizi comments na Wala haijui hiyo ID yako ewe uliyezaliwa MORO SUA,ukasoma UD na leo uko KAGERA....ha ha ha
 
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Daahh, namhurumia mwenye jimbo.

Smart911 siwezi kukulaumu maana ulifichwa kutomjua mwenye jimbo
 
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Sasa je[emoji39][emoji39]

Halafu wote mko Bukoba nyie makazini huko

So easy yaan

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mahondaw best tumezaliwa siku moja, what a day to us!👏👏

Heri ya siku ya kuzaliwa dear, Mwenyezi Mungu akutunze na kukupa kibali cha kuishi miaka tele.

Ili kufurahia siku yako, nenda dukani kwa Mangi hapo chukua Hennessey zitakazokutosha bill nitumie 😀

Happy birthday mate 🍾🥂
 
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Inaitwa kupasha kiporo hiyo,dah!unachepuka mkuu ujue,wanawake hamnaga huruma aisee!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom