Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Duuh
Umeanza na mi kunihoji[emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Bwanaaa eee si ili turekebishe mambo nitarekebishaje sijuii banaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh
Umeanza na mi kunihoji[emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Bwahahahaha nafurahi tu kuwaona baadhi ya memba waliopotea humu long time kumekua kimya humu,,,,,Si ajabu na hapa unapigwa kamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duuuh 🤣🤣🤣Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Daahh, namhurumia mwenye jimbo.Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
Jamani jamani sikuzote yupo dar mpendwa mbona hata wee unajua alipo dina!
Sasa je[emoji39][emoji39]Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!
HaaahaaahaaNilikuwaga najua nawe unaishi Dar ,kuhusu smart kuwa Dar sina uhakika huwa nahisi tu
Unataka kusema namfahamu Smart??
Wallah simjui 😂😂😂Haaahaaahaa
Unamjua Smart kumbe Dina [emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Cc SmartHuyo smart mbona kapotea humu au ID ishapigwa panga shaa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yule bi mkubwa alimind sana,sema alichukulia kikubwa akamove onMchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
ohoooo tuongelee yakwangu wapendwa si vema kumjadili yeye pulliizz! Anyway nilikua huko nimehamishwa kikazi kumfata mume nimeolewa na muhaya mpenda kwao ndugu!Nilikuwaga najua nawe unaishi Dar ,kuhusu smart kuwa Dar sina uhakika huwa nahisi tu
Unataka kusema namfahamu Smart??
Umehamishwa kikazi lini kutoka Dar?ohoooo tuongelee yakwangu wapendwa si vema kumjadili yeye pulliizz! Anyway nilikua huko nimehamishwa kikazi kumfata mume nimeolewa na muhaya mpenda kwao ndugu!
Inaitwa kupasha kiporo hiyo,dah!unachepuka mkuu ujue,wanawake hamnaga huruma aisee!Lol mara kibao tu na tukikutana kam kawaa tunasambaziana maupendo kwakwenda mbelee! He Call me I call him, he text me I text him, sometimes ananichamba namchamba vilevile ivoivo hata nikiwa na kitu kigumu cha kazini namuuliza ananisaidia hahahaha! Ikumbukwe tumeachana jamani!!