Happy birthday Mtume na nabii wa mwisho wa Soka Saint Gaucho

Happy birthday Mtume na nabii wa mwisho wa Soka Saint Gaucho

Ukiachana na WC mimi sioni kingine Gaucho anachomzid Messi.
Gaucho ana mbwembwe sana, ila Messi the way anavyodribble ni burudani tosha kabisa sababu hata Gaucho hadrible kama Messi kwa mimi nionavyo.
Harafu Messi anazile chenga zake za kukutisha kama anaenda kushoto au kulia, ukienda upande huu yeye anaenda upande huu.

Hakika Messi namkubali ila kwa hili mkuu hujui unachoandika mazee!! dinho alikua anatoa burudan nying hazipimiki unaambiwa.
 
Dinho kama Dinho ana skills zake, kuna kitu cha Lelastica, kuna kitu cha Lespardinha, kuna Estil Laudrup, kuna el Baretti na Etriple Baretti....

Dinho rules
 
Kombe la mbuzi mitaa ya Rio de janeiro hapo 1999..Graemio vs Internacional...Dinho(18) anapokea mpira katikati ya kiwanja, Captain Dunga anakimbilia kumkaba...Dinho aka mvisha jamaa dalizi anamshika bega jamaa anageuka mara tobo, Dunga chini kateleza!!. Uwanja mzima washbiki wanalia ole ole ole!!

Hadi leo Dunga hataki kabisa kusikia jina la Dinho
 
haya sasa gang where are you tetetete saint gaucho hatariii huyu ni mchezaji ambaye aliyepewa man of the match kabla ya mpira kuanza
 
Kuchangia huu uzi ni kujitafutia mazambi tu,huwezi kumtukuza mchezaji kihivyo, "eti mtume na nabii wa mwisho" huu ni ujinga uliokithiri, kweli waafrika tunasafari ndefu

Wakati kuna wazaidi yake yeye lkn hatukuwatukuza kihivyo,, duh binaadamu tunavuka mpaka kwakweli, mtu mwenyewe hajafikia hata robo ya uwezo wa akina Messi,Maradona,Pele,Zidane Alaf umtukuze ivo,
 
Gaucho ni kila kitu. Mtoa mada uko sahihi sana hakuna zaidi yake on the pitch.
 
Kombe la mbuzi mitaa ya Rio de janeiro hapo 1999..Graemio vs Internacional...Dinho(18) anapokea mpira katikati ya kiwanja, Captain Dunga anakimbilia kumkaba...Dinho aka mvisha jamaa dalizi anamshika bega jamaa anageuka mara tobo, Dunga chini kateleza!!. Uwanja mzima washbiki wanalia ole ole ole!!

Hadi leo Dunga hataki kabisa kusikia jina la Dinho

Forza la ma Dinho
 
Kombe la mbuzi mitaa ya Rio de janeiro hapo 1999..Graemio vs Internacional...Dinho(18) anapokea mpira katikati ya kiwanja, Captain Dunga anakimbilia kumkaba...Dinho aka mvisha jamaa dalizi anamshika bega jamaa anageuka mara tobo, Dunga chini kateleza!!. Uwanja mzima washbiki wanalia ole ole ole!!

Hadi leo Dunga hataki kabisa kusikia jina la Dinho

Bwah hah hah hah hah Dinho nyioko aysee
 
Kuchangia huu uzi ni kujitafutia mazambi tu,huwezi kumtukuza mchezaji kihivyo, "eti mtume na nabii wa mwisho" huu ni ujinga uliokithiri, kweli waafrika tunasafari ndefu

Wakati kuna wazaidi yake yeye lkn hatukuwatukuza kihivyo,, duh binaadamu tunavuka mpaka kwakweli, mtu mwenyewe hajafikia hata robo ya uwezo wa akina Messi,Maradona,Pele,Zidane Alaf umtukuze ivo,

Mkuu majukwaa yapo Mengi tu, kuna la mapishi, kuna la mapicha tu, kuna la mapenzi na umbea, huko kote unafit...so usijikereheshe bure mpaka kamasi na povu vinakutoka.

Nenda huko, huku tupo wanaume tunamjadili mwanaume
 
Gaucho alidanganya umri haiwezekani acheze kiveteran hata miaka 29 alikuwa hajafika huko mwaka 2008

Mnaumia saana kwa huyu Mbarikiwa kuendelea kuwepo.
Hako kambilikimo kenu mnakokapa kiki kamestahafu mpira hakana World Cup wala Copa America...
Hah hah hah hah mkajipange
 
Back
Top Bottom