Chenga hizo hata Hazard anafanya
Za Gaucho hata Okocha kafanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenga hizo hata Hazard anafanya
Yupo Mexico anakula bataaaaa... Ameisha hana chake.. Hata mwanangu hamjui, lakini muulize kuhusu Messi atakutajia hadi mtaa anaotoka kule Argentina sijui kajulia wapi.
Usirogwe kumuonesha clip za dinho!!
Hatomtaka huyo messi
Usirogwe kumuonesha clip za dinho!!
Hatomtaka huyo messi
Clip za mwaka gani labda? Mimi Gaucho nimemuona akiwa ktk zama zake.
Hajakuwa mwiba kama Messi.
Hahah mkuu uwasilishaji wako umefanikiwa kuiteka hadhila hahah, gaucho oyee
Huyu ndie Ronaldo de Assis Moreirra almaarufu kama Ronaldinho Gaucho the saint ambae akiwa uwanjani basi Malaika huacha shughuli zao na kuanza kumtazama.
Kwani mkuu, ni vitu gani ambavyo vinamfanya Gaucho awe juu ya Messi?Zozote zile, hata za mwaka huu huko mexico.
Kwani mkuu, ni vitu gani ambavyo vinamfanya Gaucho awe juu ya Messi?
Kama ipi?Miujiza...
Kwanza alikua ni mtoto mdogo aliyebebwa na mastaa wakomavu sana.. Na ndio maana baada ya hapo hawakua na jipya, huyu jamaa hajadumu ktk ubora, mbwembwe zilimzidi huyu.
Hili halipingiki mkuu.. Messi ni kiumbe wa ajabu huyu.
Ukiachana na WC mimi sioni kingine Gaucho anachomzid Messi. Gaucho ana mbwembwe sana, ila Messi the way anavyodribble ni burudani tosha kabisa sababu hata Gaucho hadrible kama Messi kwa mimi nionavyo.
Halafu Messi anazile chenga zake za kukutisha kama anaenda kushoto au kulia, ukienda upande huu yeye anaenda upande huu.
Nesi mwenyewe anakiri kuwa ile pasi aliopewa na Saint Gaucho ambayo ndio ilifungua ukurasa wake wa kufunga magoli pale Barca ndio iliokuwa na mwangaza wa mafanikio anayoyapata kwa sasa...pia anasisitiza kuwa tangu hapo hatokuja kujifananisha na Gaucho coz Gaucho ni God Father wake...
kwi kwi kwi kwiiiiii
Yupo Mexico anakula bataaaaa... Ameisha hana chake.. Hata mwanangu hamjui, lakini muulize kuhusu Messi atakutajia hadi mtaa anaotoka kule Argentina sijui kajulia wapi.
Gaucho ndio mchezaji Wang wa uhai wangu. Jamaa anajua
Sio wewe tu mkuu, ile ni kwa yeyote anaeujua Mpira, ila kwa hawa wanaoangalia mpira mara wabadilishe channel na kuangalia FUTUHI hawawezi kuelewa nini Nabii Gaucho kafanya na ndio maana wanachuma dhambi tu hapa
Clip za mwaka gani labda? Mimi Gaucho nimemuona akiwa ktk zama zake.
Hajakuwa mwiba kama Messi.
Usijiseme mkuu.. Futa na povu afu panga hoja... Hahahahahah
We mkuu usipotoshe jamii,, leta ushahidi wote
Kiongozi tafuta quotes za Nesi akimzungumzia Mbarikiwa, najua hutorudi tena hapa kwa aibu utayoipata