Happy birthday my Love moneytalk

Happy birthday my Love moneytalk

Nakutakia kila la kheri na baraka tele katika siku yako hii muhimu sana. Miaka kadhaa tarehe kama ya leo Moneytalk ulibisha hodi na ukakaribishwa katika dunia hii yenye kila aina ya rangi. Chagua na ubakie na rangi ya waridi, ambayo wewe na hata Mwifwa mtaifurahia siku zote,

Happy birhday to you
Ahsante kwa Dua yako mkuu
 
asante sana kipenzi changu,mwenyezi mungu azidi kukubariki na kukuongezea mafanikio tele ktk maisha yako,umekuwa mwanaume wa pekee sana kwangu unayenipenda,kunijal,unaniheshimu na mwenye mwenye mapenzi ya dhati kwangu,japo mazingira tuliyokutana(jf)ilikuwa vigumu kuamini kama tungefikia hapa leo! Nakupenda sana mwifwa wangu umenifanya niwe jasiri,umeondoa huzuni moyoni mwangu na kunifanya niwe mwenye tabasamu muda wote!NITAKUPENDA MILELE
Maneno mujarab kabisa, neno tamtam kwa mwanaume kulisikia kutoka kwa sweetheart wake, neno lenye kilo likuki za mahaba

Kula la kheri kwenu nyote wewe na Mwifwa
 
Nimtafuta namna ya kuandika gazeti ila nimejikuta na lifuta

Safari ya mwanadamu huwa ina mengi katika mengi huya mabaya na mazuri

Unahitaji kuwa na mvumilivu katika kila pito unalo pitia

Hongera kwa kuongeza miaka ya uwepo wako duniani

Mungu akuzidishie afya tele

Mwifwa hongera kwa kujitwaria kimwana 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Ahsante mkuu.

Kushinda dau haikuwa kazi rahisi.

Hahahaaaa
 
asante sana kipenzi changu,mwenyezi mungu azidi kukubariki na kukuongezea mafanikio tele ktk maisha yako,umekuwa mwanaume wa pekee sana kwangu unayenipenda,kunijal,unaniheshimu na mwenye mwenye mapenzi ya dhati kwangu,japo mazingira tuliyokutana(jf)ilikuwa vigumu kuamini kama tungefikia hapa leo! Nakupenda sana mwifwa wangu umenifanya niwe jasiri,umeondoa huzuni moyoni mwangu na kunifanya niwe mwenye tabasamu muda wote!NITAKUPENDA MILELE
Amina[emoji120] [emoji120]
 
Shemeji how do you expect me to remember your birthday when you never look any older??

Happy birthday [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] uishi miaka 75 tu kama ilivyoamriwa na maandiko matakatifu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati huo Mwifwa aishi miaka Sabini na tano.

Sema nn. Kwa maombi yangu ninawaombea miaka ,86 kwa mwifwa.... Alafu kwako miaka 92.

Kama haitoshi Mnune tu ,mvimbe na mpasuke[emoji23].
 
Back
Top Bottom