johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Jamaa kalala mda huu, si tunaweza endelea?Haya nasubiri jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kalala mda huu, si tunaweza endelea?Haya nasubiri jibu
Ngoja tusubiri aamke. Usijenitoa kwenye reli bure weweJamaa kalala mda huu, si tunaweza endelea?
Ha ha ha, kiutu uzima kakako Nimekuelewa.Muacheni jamani bado tunainjoi uhusiano wetu,si mnajua kila stage ya mahusiano ina utamu wake?
Hahaha
Hhahhaa ww mbishi sanaNgoja tusubiri aamke. Usijenitoa kwenye reli bure wewe
Dhubutuuu naanzaje kulainika haraka hivo... Kwanza mtu johnson mwenyewe hajui kubembelezaAcha kutafuta visababu bhana,kwanza unaonekana umeshalainika kabisa [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahahaaaaaa bila shaka sis,cheki nae basi maana hapa ndio najiandaa kwa party...jana tulivurugwa [emoji4] [emoji39]
Kweli mapenzi upofu, check unavyokosea hata kunikataa kimaandishi...Dhubutuuu naanzaje kulainika haraka hivo... Kwanza mtu johnson mwenyewe hajui kubembeleza
Hujui tu nilivyocheka kwa nguvu hapa nilipo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona na nimevumilia ila ile post uvumilivu umenishinda.
Sio kwa mistari hii,uko vizuri aiseee broh
Nawe pia shem nilikuwa napita pita uku kujua paty iliendaje nakuta chalii yetu kapigwa ban tatizo nini au alikunywa sana hahahaHahahaaaaa
Asante mkuu,ubarikiwe sana.
Hivi ww jamaa ulipona juzi ?Hujui tu nilivyocheka kwa nguvu hapa nilipo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ile lafudhi sasa!Najua kabisa kaka yangu...tena hapo muongeze na Transcend
Hahahahaaaa huwezi amini sijawahi kabisa kumdate chalii wa home kwetu kule [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ila huyu chalii ni bahati yake tu,tunashukuru kwa baraka zenu hommies
Sijuiiiiiii [emoji85]
Ashe papa lai [emoji12]
Miaka 3 unaomba viza ya mars nini ? [emoji23][emoji23]C'mon [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] anyway ngoja nikupe muda utafakari kwa amani kabisa,
yote nataka uamini kama umekutana na super man mzee mwenzie acha nikumbukie enzi zetu tunatongoza miaka 3,
Ndivyo waoaji wakweli huwa.
Looh! Upo mkuu?Haha me mwenyewe ni bi chau lol
Baby naona umekuja kutoa happybirthday wish kwa le super wifii..Happy born day roho ya The Bold
yaani..!!daaahhh!!!Hahahaaaa usijali twin,hata hivyo ni muda mrefu sana sijakuona.
Ngoja nimalizie list...waje na geniveros kabisa [emoji12]
Namendea keki hivyoLooh! Upo mkuu?
Siku mingi sana..
Baby naona umekuja kutoa happybirthday wish kwa le super wifii..
Oooh! Hope sister ameweka kipande chako..Namendea keki hivyo
Sister ako mchoyo, hata Karibu hamna.Oooh! Hope sister ameweka kipande chako..
Love you asali yangu..!
Asante best dada yaani ndio naanza kujikwatuaKaribu tugonge cheers mama [emoji39] [emoji485]