Happy Birthday Nifah, Cheupe wangu..

Happy Birthday Nifah, Cheupe wangu..

Dhubutuuu naanzaje kulainika haraka hivo... Kwanza mtu johnson mwenyewe hajui kubembeleza
Kweli mapenzi upofu, check unavyokosea hata kunikataa kimaandishi...
Hapo najua una mgogoro ndani ya moyo na nafsi yako,
Acha kujitesa bibie, nalala mlango wazi ukijifikiria na kuridhia njoo tu uingie muda wwte.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona na nimevumilia ila ile post uvumilivu umenishinda.
Sio kwa mistari hii,uko vizuri aiseee broh
Hujui tu nilivyocheka kwa nguvu hapa nilipo, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najua kabisa kaka yangu...tena hapo muongeze na Transcend

Hahahahaaaa huwezi amini sijawahi kabisa kumdate chalii wa home kwetu kule [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Ila huyu chalii ni bahati yake tu,tunashukuru kwa baraka zenu hommies

Sijuiiiiiii [emoji85]
Ashe papa lai [emoji12]
Ile lafudhi sasa!

Non-bantus ni kwereee!
 
Hahahaaaa usijali twin,hata hivyo ni muda mrefu sana sijakuona.

Ngoja nimalizie list...waje na geniveros kabisa [emoji12]
yaani..!!daaahhh!!!
nimechelewaje...

naomba nikuambie yafuatayo
1:mpende mpenzi wako kama hakuna kesho
2:mshirikishe Mungu
3:Msiri wako ni nafsi yako
4:Mtii mumeo...
5😛enda ndugu za mumeo kama unavyompenda yy...(nimeandika km kitchen party )

all the best switie in ur life with the bold may lord grants u many yrs to stay happy
 
Back
Top Bottom