Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

Ishi sana Mtibeli-Taikoni wa mapenzi kwa sasa Kihesa ,Iringa.
 
Kumbe ndio unaendelea kukua.. nitakuwa nakuvumilia pale unapoweka nyuzi zenye utoto, ignorance na immaturity.

Heri ya siku ya kuzaliwa.

Mwanadamu haishi Kukua, ukuaji hauna mwisho.
Halikadhalika ujinga hauna mwisho, ndio maana kwenye Maisha kuvumiliana ni Jambo la hekima na Busara.

Nimeishi na watu wenye umri mkubwa lakini wanaweza kufanya Jambo lolote ambalo linaweza kubeba tafsiri ya ujinga au Akili, upumbavu au hekima.

Hata hivyo Wakati mwingine MTU huweza kuamua kuwa mjinga ilhali anaakili, Maisha ni uchaguzi.

Mtu anahukumiwa Kwa dhamiri hiyo ndio hukumu ya Haki.

Shukrani Sana Mkuu, barikiwa.
 
Hbd boss
 
Kama uko na afadhali mfukoni jaribu kuita watoto uwapatie zawadi.wanapofurahi na mambo yako yanafunguliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…