MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
HBD son
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzungumze nn
Aya bhana😀Tuzungumzie hili suala, imekuwaje kuwaje mpaka tume-share mwezi mmoja.
Maana sio kawaida ujue😊
acha mambo yakike.Ikiwa ni Maoni yako basi upo sahihi Kabisa, lakini Kwa vile sio Fact haupo Sahihi
Mkuu shukrani Sana Kwa kunitakia kheri.
Ila Kwa habari za tuzo, utaratibu ulikuwa lazima nipigiwe Kura na nishinde,
Sasa Kaka Mshana Jr alinizidi Kwa Kura. Hivyo ni Haki kabisa kutokupewa Tuzo kwani sikukidhi vigezo.
Hata hivyo nashukuru Kwa sababu kukubalika pia na kuwekwa kwenye vinyang'anyiro ni sehemu ya heshima Mkuu
Kumbe na wee unasherekea bday
Ova
acha mambo yakike.
Kwema Wakuu!
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Duh basi sawaKizazi chetu, miaka tuliyozaliwa, Zama zetu ni tofauti na waliotutangulia.
Hivyo kifikra, kitamzamo, kiutendaji, kihisia, Kiroho tunafanya mambo tofauti na waliotutangulia.
Ikiwa Jambo halidhuru, linafurahisha na kuwapa Watu furaha, halivunji maadili na sheria za nchi wala za Mila na desturi, sioni ajabu likifanywa ikiwa ni Kwa hiyari na mapenzi ya Watu wenyewe
Wee nawe nimwanaume?Acha kufuatilia wanaume,
Uwe na maisha marefuKwema Wakuu!
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
🥰🥰🥰
Shukrani Sana Mama D
Barikiwa Sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wee nawe nimwanaume?
weechoko tuu.
wanaume hatuna habari za birthday Kama wanawake.
😅😅😅😅mwenetu mboga huyu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwema Wakuu!
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umezaliwa leo??
Ukawe na mwaka mpya na msimu mwingine wa mafanikio na baraka tele
Wee nawe nimwanaume?
weechoko tuu.
wanaume hatuna habari za birthday Kama wanawake.