Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

Ikiwa ni Maoni yako basi upo sahihi Kabisa, lakini Kwa vile sio Fact haupo Sahihi


Mkuu shukrani Sana Kwa kunitakia kheri.

Ila Kwa habari za tuzo, utaratibu ulikuwa lazima nipigiwe Kura na nishinde,
Sasa Kaka Mshana Jr alinizidi Kwa Kura. Hivyo ni Haki kabisa kutokupewa Tuzo kwani sikukidhi vigezo.

Hata hivyo nashukuru Kwa sababu kukubalika pia na kuwekwa kwenye vinyang'anyiro ni sehemu ya heshima Mkuu
acha mambo yakike.
 
Kumbe na wee unasherekea bday

Ova

Kizazi chetu, miaka tuliyozaliwa, Zama zetu ni tofauti na waliotutangulia.
Hivyo kifikra, kitamzamo, kiutendaji, kihisia, Kiroho tunafanya mambo tofauti na waliotutangulia.

Ikiwa Jambo halidhuru, linafurahisha na kuwapa Watu furaha, halivunji maadili na sheria za nchi wala za Mila na desturi, sioni ajabu likifanywa ikiwa ni Kwa hiyari na mapenzi ya Watu wenyewe
 
Kwema Wakuu!

Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.

Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.

Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.

Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


Happy New Year to you Robert Heriel Mtibeli

 
Kizazi chetu, miaka tuliyozaliwa, Zama zetu ni tofauti na waliotutangulia.
Hivyo kifikra, kitamzamo, kiutendaji, kihisia, Kiroho tunafanya mambo tofauti na waliotutangulia.

Ikiwa Jambo halidhuru, linafurahisha na kuwapa Watu furaha, halivunji maadili na sheria za nchi wala za Mila na desturi, sioni ajabu likifanywa ikiwa ni Kwa hiyari na mapenzi ya Watu wenyewe
Duh basi sawa

Ova
 
Kwema Wakuu!

Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.

Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.

Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.

Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uwe na maisha marefu
 
Kwema Wakuu!

Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.

Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.

Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.

Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


Umezaliwa leo??
 
Back
Top Bottom