Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh basi sawa
Ova
Hakuna uhusiano wa moja Kwa moja kati ya kusherehekea siku ya kuzaliwa na urijali wa mtu😅😅😅😅mwenetu mboga huyu.
unaweza kumkuta hata anajichubua ili aonekane bishoo.
Hawa ndio wanatamani kuwa Kama dada zao.
Leo ni siku aliyozaliwa Taikon wa Fasihi
Umetimiza miaka mingapi?
#YNWA
Hakuna uhusiano wa moja Kwa moja kati ya kusherehekea siku ya kuzaliwa na urijali wa mtu
haya jipodoe Sasa mana leo ni sikuyako.mchumba wee😄😄😄
Unafikiri uchungu wako WA Maisha kuutoa hapa ndio utapata Relief?
Ikiwa ni hivyo basi kazana Sana, utaikomboa familia yako na Wazazi wako.
Ni tarehe kama ya leo au siku ya leo ndio umezaliwa??!!--- kama umezaliwa leo maana yake hata umri wa siku moja huna!!, bado ungali mtoto mchanga!!.
Au hizo ndizo lugha za kifasihi??
Robert= Bob , Heri ya siku ya mfanano ya kuzaliwa mkuu, uendelee kutuandikia na kutoa elimu hapa JF,
Sasa niheshimiwe na jinga kamawewe ili iweje?Huyo ana-stress za Maisha, au ni mshamba, au ni MTU ambaye Hana exposure
Hivyo asilaumiwe anachokizungumza ni Haki na halali kwake.
Na Wakati mwingine ni sehemu ya matibabu kwake.
Huyo ukitaka apate Ahueni unatakiwa uendelee kujibishana naye, atafurahi.
Lakini ukimpuuza atazidi kuchanganyikiwa na kuona umemdharau.
Sasa niheshimiwe na jinga kamawewe ili iweje?
🤣Tena hata hunijui🤣🤣🤣🤣dah
Sasa niheshimiwe na jinga kamawewe ili iweje?
[emoji1787]Tena hata hunijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah
Mkuu mbona unatukana sana unataka kuharibu sherehe tena na mchango haujatoa? Wakati umealikwa tu kutoa salamu
Mwanaume unasheherekeaje birthday wewe?
Kwa hiyo tukuletee keki upulize mishumaa [emoji849]
kwahiyo vitu vizuri vyote ni vya wanawake[emoji1787][emoji1787]Mwanaume unasheherekeaje birthday wewe?
Kwa hiyo tukuletee keki upulize mishumaa [emoji849]
Mwanaume unasheherekeaje birthday wewe?
Kwa hiyo tukuletee keki upulize mishumaa [emoji849]