charenger
Senior Member
- Mar 16, 2023
- 181
- 261
nawewe ushaajiremba tayali kwaajili ya birthdayMkuu mbona unatukana sana unataka kuharibu sherehe tena na mchango haujatoa? Wakati umealikwa tu kutoa salamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawewe ushaajiremba tayali kwaajili ya birthdayMkuu mbona unatukana sana unataka kuharibu sherehe tena na mchango haujatoa? Wakati umealikwa tu kutoa salamu
nawewe ushaajiremba tayali kwaajili ya birthday
🤣🤣🤣shangaa nawewe mwanamke.mimi nimeuliza baazi ya wanaume wakaja kumteteaMwanaume unasheherekeaje birthday wewe?
Kwa hiyo tukuletee keki upulize mishumaa [emoji849]
Eeeh si ndio mnavyosema ama?kwahiyo vitu vizuri vyote ni vya wanawake[emoji1787][emoji1787]
mzee rungwe ndio nani?usidhani wote tunamjua.Lazima tu wewe ni mwanachama wa chama cha mzee rungwe
Celebrities wanapaka mikorogo, wanatoboa pua na masikio, wanavaa milegezo na nusu uchi, wanajichora matattoo..... vipi ushaiga na hayo?Celebraties wote wanasherehekea dunia nzima lakini watu wasiojielewa ndio wanajifanya wagumu, siku ya kuzaliwa si kwa ajili ya kupuliza mishumaa, unawatembelea wagonjwa, watoto yatima, wazee na kujipa muda wa tafakari za maisha yako, na legacy gani utaacha
Happy birthday bwana Herieri. Uwepo wako unatuweka active muda mwingi sie wapenda kusoma na hatuna helaKwema Wakuu!
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Weka location nikuletee keki upulize mishumaa huku tunakuimbia "na kapicha kako nitakapost, wasokupenda itawacost"Karibu Sana.
Leo ni ilikuwa siku kubwa ya kukumbukwa.
Kukumbuka siku ya kuzaliwa hakuna ubaya mkuu, kusherehekea pia, kila mtu na mtazamo wake. Maisha yetu mafupi sana, dogo yupo 20s, soon tu anaanza kuwa mtu mzima na ana miaka michache sana ya kuitwa kijana.Weka location nikuletee keki upulize mishumaa huku tunakuimbia "na kapicha kako nitakapost, wasokupenda itawacost"
Na mimi pia jamani ☺️Hbday Robert
Kumbe tumeshare mwezi
Weka location nikuletee keki upulize mishumaa huku tunakuimbia "na kapicha kako nitakapost, wasokupenda itawacost"
Happy birthday bwana Herieri. Uwepo wako unatuweka active muda mwingi sie wapenda kusoma na hatuna hela
Heri ya kuzaliwa Taikoni.
Ww yako lini...tunaweza ku share same day[emoji41]Aya bhana[emoji3]
Tena tumepishana siku chache mno
Celebrities wanapaka mikorogo, wanatoboa pua na masikio, wanavaa milegezo na nusu uchi, wanajichora matattoo..... vipi ushaiga na hayo?
Pamoja robi. Mwenyezi mungu akulinde pia akupe maisha marefu. Bahadhi ya makala zako zimefanikiwa kubadilisha namna ninavyo fikiriShukrani Mkuu
Barikiwa Sana Bro