Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

Happy birthday Bob, uzidi kupata hekima mkuu. Still young sana, strive kuyafikia malengo yako ili ufaidi ya dunia huku ukisubiri ya mbinguni.
 
Mwanaume unasheherekeaje birthday wewe?
Kwa hiyo tukuletee keki upulize mishumaa [emoji849]
🤣🤣🤣shangaa nawewe mwanamke.mimi nimeuliza baazi ya wanaume wakaja kumtetea
Hawa ndio wanatamani kuwa Kama dada zao.mikazo hawawezi.
 
Celebrities wanapaka mikorogo, wanatoboa pua na masikio, wanavaa milegezo na nusu uchi, wanajichora matattoo..... vipi ushaiga na hayo?
 
Happy birthday bwana Herieri. Uwepo wako unatuweka active muda mwingi sie wapenda kusoma na hatuna hela
 
Weka location nikuletee keki upulize mishumaa huku tunakuimbia "na kapicha kako nitakapost, wasokupenda itawacost"
Kukumbuka siku ya kuzaliwa hakuna ubaya mkuu, kusherehekea pia, kila mtu na mtazamo wake. Maisha yetu mafupi sana, dogo yupo 20s, soon tu anaanza kuwa mtu mzima na ana miaka michache sana ya kuitwa kijana.

Mkuu mimi na uzee huu unibless na keki na black&white moja tu, soon nazidi kutimiza uzee[emoji12]
 
Happy birthday bwana Herieri. Uwepo wako unatuweka active muda mwingi sie wapenda kusoma na hatuna hela

Shukrani Sana Mkuu.
Usijali Kwa kutokuwa na Pesa, Mungu ameumba Watu wengi ambao wanatoa vitu Kwa gharama nafuu Sawa na Bure.
Kutaka vya gharama ni MTU mwenyewe kutaka kujihangaisha.

Barikiwa Sana
 
Kuna watu ni wajinga mno,birthday yako unakuja kutuambia ili sisi tufanye nn?
 
Kheri ya siku ya kuzaliwa boss.
Ila mwanamume kuandika “happy birthday to me” inaleta zesheni kidogo
 
Celebrities wanapaka mikorogo, wanatoboa pua na masikio, wanavaa milegezo na nusu uchi, wanajichora matattoo..... vipi ushaiga na hayo?

Ikiwa Jambo lolote linavunja asili, Mila na desturi, pamoja na sheria za nchi Jambo Hilo ni Baya, Kwa Lugha ya kisheria huitwa Uhalifu, Kwa Lugha za kiimani huitwa Dhambi.

Ikiwa Mila na desturi zinakataza Watu wasitoboe masikio au kujichora miili yao hasa Kwa wanaume basi wanaofanya hivyo wanakosea.
Ingawaje, yapo makabila kama Kabila la maasai Mila na desturi zao zinaruhusu mwanaume kusuka Rasta Aina Fulani na kutoboa masikio.

Ni ishu ya maadili.
Na unaposema maadil "Moral" kwenye jamii moja inaweza kuwa kosa alafu jamii nyingine ikawa sio kosa.

Zingatia Dunia inajamii nyingi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…