Happy birthday to me

Happy birthday to me

Zesh

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
15,395
Reaction score
25,049
Ilikua tarehe 14/4 mwaka........ Siku ambayo mama yangu kipenzi kwa uwezo wake mwenyezi mungu alinileta duniani...... Namshukuru mungu nimekua na mpk sasa nakaribia kuitwa mama japo changamoto ni nyingi ila kwa baraka na heri zake muumba wa mbingu na ardhi bado nasimama...... Ahsante mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine tena [HASHTAG]#HAPPY[/HASHTAG] BIRTHDAY TO ME#[emoji257] [emoji322] [emoji322] [emoji322]
 
Back
Top Bottom