Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Ilikua tarehe 14/4 mwaka........ Siku ambayo mama yangu kipenzi kwa uwezo wake mwenyezi mungu alinileta duniani...... Namshukuru mungu nimekua na mpk sasa nakaribia kuitwa mama japo changamoto ni nyingi ila kwa baraka na heri zake muumba wa mbingu na ardhi bado nasimama...... Ahsante mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine tena [HASHTAG]#HAPPY[/HASHTAG] BIRTHDAY TO ME#[emoji257] [emoji322] [emoji322] [emoji322]