Wewe hujawa na mvuto kama Mwamposa.Mlete kwangu nimwombee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujawa na mvuto kama Mwamposa.Mlete kwangu nimwombee
Mbowe ndio anatakiwa kuombewauna mapepo ?
CC Mshana JrKama mleta mada ni mwanamke iko sawa kabisa kwa wewe kumtakia heri Mwamposa ktk siku yake ya kuzaliwa. Yawezekana umevutiwa naye.
Lkn kama wewe ni mwanaume halafu umeingiwa na pepo wa kike wa kumtakia mwanaume mwenzio heri ya siku yake ya kuzaliwa nasikitika kwa kuhitimisha kuwa "haikuwa ridhiki kwa kijana huyu wa kiume".
😃Wakazi wa jimbo la Kawe tunasubiri kwenda Birmingham
Wajinga Ndiyo Waliwao,Mtumishi Kumetokea NiniHuyu Mwamposa ana kundi kubwa sana la watu wajinga wanamwamini mpaka basi. Yaani kupitia hilo kundi la watu wajinga, jamaa amekuwa na yeye milionea mjini!!
Aisee kweli wajinga ndiyo waliwao.
Kwamba ameleft group au siyo[emoji848]Kama mleta mada ni mwanamke iko sawa kabisa kwa wewe kumtakia heri Mwamposa ktk siku yake ya kuzaliwa. Yawezekana umevutiwa naye.
Lkn kama wewe ni mwanaume halafu umeingiwa na pepo wa kike wa kumtakia mwanaume mwenzio heri ya siku yake ya kuzaliwa nasikitika kwa kuhitimisha kuwa "haikuwa ridhiki kwa kijana huyu wa kiume".
Nampongeza sana mnyakyusa yule kwa kuwa hodari wa kukusanya pesa za wajinga! Kazi iendelee apostle Mwamposa wakamue mpaka senti zao za mwishoHuyu Mwamposa ana kundi kubwa sana la watu wajinga wanamwamini mpaka basi. Yaani kupitia hilo kundi la watu wajinga, jamaa amekuwa na yeye milionea mjini!!
Aisee kweli wajinga ndiyo waliwao.