Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu salama?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?