Happy Father's Day kwa akina baba wote JF na Dunia kwa ujumla. Una ujumbe gani kwa Baba yako leo?

Happy Father's Day kwa akina baba wote JF na Dunia kwa ujumla. Una ujumbe gani kwa Baba yako leo?

R.I.P mzee Swai. Ulinifundisha kuwa Mwanaume halisi wa kimachame. Do and don't zako zimenifanya niendelee kupambana humu duniani.

Tuonane asubuhi ile, katika pambazuko lile. Katika karamu ya mwanakondoo.
Swai yupi? Mi namfahamu yule WA baobab
 
IMG_0947.jpeg
 
Niliposema baba yangu amevuka viwango vya baba bora, nilimaanisha na anastahili wala sikukosea.

Baba yangu sio mbaguzi wa watoto, kwamba ajivunie wa kiume tyuu na wa kike asijivunie hilo kwake halipo, alinilea kwa mapenzi, maadili na makuzi yenye kumpendeza yeye na umma kwa ujumla tena kwa msingi thabiti wa imani na dini ya kikristo na kupitia baadhi ya hatua na sakramenti.

Yess anajua wazi uhalisia wa mwanae, huenda ananaumia km unavyosema but hakuna kilichobadilika kwake juu yangu, kuhusu mabadiliko ya kutoka nilivyo na kuwa utakavyo, hayo ni maamuzi na matakwa yangu, na yatafanywa kwa ridhaa yangu pale nitakapohitaji.

Umesema ni kheri ningekua jambazi, mlevi, mwizi, au mvuta bangi kwani ningekua mrithi na shujaa wake bado, sijui unalenga nn hasa, ila hayo yote ni ubatili sio ktk tamaduni wala maadili.

Baba yangu ana amini ktk uhuru binfasi hasa kwa mtu mzima aliye na umri wa kufanya maamuzi juu yake, hivyo hana shida kabisaa.

Aishi sana baba yanguu. [emoji482][emoji482]
We mlongo, mbona mimi sielewi mnachoongelea wewe na huyu Kiungopunda?
 
Niliposema baba yangu amevuka viwango vya baba bora, nilimaanisha na anastahili wala sikukosea.

Baba yangu sio mbaguzi wa watoto, kwamba ajivunie wa kiume tyuu na wa kike asijivunie hilo kwake halipo, alinilea kwa mapenzi, maadili na makuzi yenye kumpendeza yeye na umma kwa ujumla tena kwa msingi thabiti wa imani na dini ya kikristo na kupitia baadhi ya hatua na sakramenti.

Yess anajua wazi uhalisia wa mwanae, huenda ananaumia km unavyosema but hakuna kilichobadilika kwake juu yangu, kuhusu mabadiliko ya kutoka nilivyo na kuwa utakavyo, hayo ni maamuzi na matakwa yangu, na yatafanywa kwa ridhaa yangu pale nitakapohitaji.

Umesema ni kheri ningekua jambazi, mlevi, mwizi, au mvuta bangi kwani ningekua mrithi na shujaa wake bado, sijui unalenga nn hasa, ila hayo yote ni ubatili sio ktk tamaduni wala maadili.

Baba yangu ana amini ktk uhuru binfasi hasa kwa mtu mzima aliye na umri wa kufanya maamuzi juu yake, hivyo hana shida kabisaa.

Aishi sana baba yanguu. [emoji482][emoji482]
Basi huyo ni baba wa hovyp zaidi duniani anayebariki mwanaye wa kiume apakuliwe mavi na wanaume wenzake. Hakuma baba hapo ila kuna kituko cha Baba. 😀😃😄😁
 
Basi huyo ni baba wa hovyp zaidi duniani anayebariki mwanaye wa kiume apakuliwe mavi na wanaume wenzake. Hakuma baba hapo ila kuna kituko cha Baba. [emoji3][emoji2][emoji1][emoji16]
Nimechekaa sana!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesha panick tayariiiii, poleeeee sanaaa.
 
Kama wewe huhitaji ni sawa, baki na mtazamo wako Mkuu, acha wengine tusherekee sababu tunaheshimu uwepo wenu, bila akina baba kwenye maisha wengine tungepoteza ramani, wengine tusingefika hapa tumefika, wengine tusingekuwa presentable kama tulivyo, tusingekuwa na uthubutu kama tuliyonayo.... hivyo acha tuwasherekeee✨️✨️✨️

Afu leo ni Siku ya akina Baba sio Wanaume.
Ni vizuri kuheshimu uwepo wa akina baba kila siku na kufurahia uwepo wao kila siku, hiyo tu inatosha. Kutenga siku moja na kuanza kujaza server za JF na mitandao ya kijamii siyo kabisa.

Ni nini chimbuko la hii siku? Imetokea wapi? Waasisi wake ni akina nani? Malengo ya kuwekwa siku ya leo ni yapi?
 
Hahaaaaaa sasa napaniki nini mkuu japo nachokupendeaga Coca hukasiriki hata tunapokuprovoke. Haya kuwa na Jumapili njema tajiri.
Asinikasirishe basha wangu anae nikunja 7 na kunihemea puani, ndo mnikasirishe waja wa JF? nimeshavuka huko zamaniii sana.

Nawee piaa Dominika njema!!!
 
Happy fathers day kwa baba mtoto wangu kipenzi, just know that ukiachana na changamoto zote Trudie anakuombea kila siku ili uendelee kubarikiwa mno maana umekuwa baba bora kwa binti yetu.

Siku ya leo natumia kukwambia we appriciate you so much unafanya mengi kwa ajili yetu. Pamoja na yote bado unasimama kama baba bora sana.

Ukipita katika uzi huu chukua wishes zako na baraka zako HAPPY FATHERS DAY BABA WATOTO.
 
Tatizo sisi Waafrika bado tunaishi kwa kutegemea fikra za mzungu kila anachokitunga na kukileta sisi ni wapokeaji na watekelezaji. Valentine Day, Women Day, Mothers Day, Fathers Day, AIDS Day. Tuishi kwa utashi wetu tumpende kila mtu na kuambiana mara kwa mara kwamba tunapendana na kuthaminiana.

Hizi siku zilitengenezwa na wazungu kwa malengo yao ya kibiashara...siku hizi ndipo wafanyabiashara wanauza sana maua, vyakula,na zawadi nyingine mbali mbali
 
Baba yangu kipenzi sina la kuongea zaidi ya kumuombea maisha marefu n baraka tele katika maisha yako. Kwa ufupi baba yangu ni baba bora zaidi duniani amekuwa na mimi katika hali zote na kusimama na mimi. HAPPY FATHERS DAY BABA TRUDIE nakupenda mno.
 
Wakuu salama?


Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:

- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),

- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)

- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)

- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote

- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)

- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)

- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).

Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?
Umendika vizuri mno mleta mada, asante sana.
Sina ujumbe kuwa baba yangu ika kumtakia kupumzika kwa amani, ila aliacha mdogo mno! Mpa leo hii kwa kutokuwepo kwake sijaweza kusimama vizuri japo na jitahidi
 
Wakuu salama?


Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:

- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),

- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)

- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)

- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote

- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)

- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)

- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).

Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?

Wengi ndio baba wenyewe wanasubiria huo ujumbe kutoka kwako....
 
Back
Top Bottom