Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwemo mume Wang mtarajiwa🥰Ahsante sana mkuu kwa niaba ya wababa watarajiwa
😂😂mm zotezote yaan dah 😂😂😂mm sina ya pekeake au ya mm na yrye
Kila la kheri mkuuAkiwemo mume Wang mtarajiwa🥰
sawa mkuuKweli Mkuu fanya hivyo
Asante sana Cute Wife 🤝Wakuu salama?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?
Kama keyboad uliyoitumia kuandika hapa ni ya mzungu, unachoongea hakina maanaTatizo sisi Waafrika bado tunaishi kwa kutegemea fikra za mzungu kila anachokitunga na kukileta sisi ni wapokeaji na watekelezaji. Valentine Day, Women Day, Mothers Day, Fathers Day, AIDS Day. Tuishi kwa utashi wetu tumpende kila mtu na kuambiana mara kwa mara kwamba tunapendana na kuthaminiana.
Hizi siku zilitengenezwa na wazungu kwa malengo yao ya kibiashara...siku hizi ndipo wafanyabiashara wanauza sana maua, vyakula,na zawadi nyingine mbali mbali
Basi huyo ni baba wa hovyp zaidi duniani anayebariki mwanaye wa kiume apakuliwe mavi na wanaume wenzake. Hakuma baba hapo ila kuna kituko cha Baba. 😀😃😄😁
Duh! Na wewe umeshakuwa baba?Niliposema baba yangu amevuka viwango vya baba bora, nilimaanisha na anastahili wala sikukosea.
Baba yangu sio mbaguzi wa watoto, kwamba ajivunie wa kiume tyuu na wa kike asijivunie hilo kwake halipo, alinilea kwa mapenzi, maadili na makuzi yenye kumpendeza yeye na umma kwa ujumla tena kwa msingi thabiti wa imani na dini ya kikristo na kupitia baadhi ya hatua na sakramenti.
Yess anajua wazi uhalisia wa mwanae, huenda ananaumia km unavyosema but hakuna kilichobadilika kwake juu yangu, kuhusu mabadiliko ya kutoka nilivyo na kuwa utakavyo, hayo ni maamuzi na matakwa yangu, na yatafanywa kwa ridhaa yangu pale nitakapohitaji.
Umesema ni kheri ningekua jambazi, mlevi, mwizi, au mvuta bangi kwani ningekua mrithi na shujaa wake bado, sijui unalenga nn hasa, ila hayo yote ni ubatili sio ktk tamaduni wala maadili.
Baba yangu ana amini ktk uhuru binfasi hasa kwa mtu mzima aliye na umri wa kufanya maamuzi juu yake, hivyo hana shida kabisaa.
Aishi sana baba yanguu. [emoji482][emoji482]
[emoji23][emoji23][emoji23] umesoma vizuri? Au ndo kukurupukaa?Duh! Na wewe umeshakuwa baba?
Nimesoma vizuri sana. Ila katika kusoma ndio nikabaini wewe ni mwanaume.[emoji23][emoji23][emoji23] umesoma vizuri? Au ndo kukurupukaa?
Kina baba ni mihimili muhimu sana ya familia.Wakuu salama?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?
Umemaliza kaka.Yaani Baada ya siku ya akinamama duniani kushika hatamu, watu wameona waje na siku ya wanaume! Sisi wanaume hatuhitaji haya mambo!! Ili iweje kwa mfano?? Tuacheni tuishi maisha yetu ya kawaida siku zote ni sawa na tuwajibika kila kukicha!!
Mhhh!Tatizo sisi Waafrika bado tunaishi kwa kutegemea fikra za mzungu kila anachokitunga na kukileta sisi ni wapokeaji na watekelezaji. Valentine Day, Women Day, Mothers Day, Fathers Day, AIDS Day. Tuishi kwa utashi wetu tumpende kila mtu na kuambiana mara kwa mara kwamba tunapendana na kuthaminiana.
Hizi siku zilitengenezwa na wazungu kwa malengo yao ya kibiashara...siku hizi ndipo wafanyabiashara wanauza sana maua, vyakula,na zawadi nyingine mbali mbali
Dunia ishaenda akhera.Baba anabariki ugay??? Ye hataki kizazi chake kiendelee🙄
Kosugi haya leo kaandika mwenyewe njoo uone
Bachelor km Bob risky [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma vizuri sana. Ila katika kusoma ndio nikabaini wewe ni mwanaume.
Ndio maana nikakuuliza mwanaume mwenzetu, umeshakuwa baba? Au bado bachela kama Nay wa mitego?