Swai yupi? Mi namfahamu yule WA baobabR.I.P mzee Swai. Ulinifundisha kuwa Mwanaume halisi wa kimachame. Do and don't zako zimenifanya niendelee kupambana humu duniani.
Tuonane asubuhi ile, katika pambazuko lile. Katika karamu ya mwanakondoo.
We mlongo, mbona mimi sielewi mnachoongelea wewe na huyu Kiungopunda?Niliposema baba yangu amevuka viwango vya baba bora, nilimaanisha na anastahili wala sikukosea.
Baba yangu sio mbaguzi wa watoto, kwamba ajivunie wa kiume tyuu na wa kike asijivunie hilo kwake halipo, alinilea kwa mapenzi, maadili na makuzi yenye kumpendeza yeye na umma kwa ujumla tena kwa msingi thabiti wa imani na dini ya kikristo na kupitia baadhi ya hatua na sakramenti.
Yess anajua wazi uhalisia wa mwanae, huenda ananaumia km unavyosema but hakuna kilichobadilika kwake juu yangu, kuhusu mabadiliko ya kutoka nilivyo na kuwa utakavyo, hayo ni maamuzi na matakwa yangu, na yatafanywa kwa ridhaa yangu pale nitakapohitaji.
Umesema ni kheri ningekua jambazi, mlevi, mwizi, au mvuta bangi kwani ningekua mrithi na shujaa wake bado, sijui unalenga nn hasa, ila hayo yote ni ubatili sio ktk tamaduni wala maadili.
Baba yangu ana amini ktk uhuru binfasi hasa kwa mtu mzima aliye na umri wa kufanya maamuzi juu yake, hivyo hana shida kabisaa.
Aishi sana baba yanguu. [emoji482][emoji482]
Basi huyo ni baba wa hovyp zaidi duniani anayebariki mwanaye wa kiume apakuliwe mavi na wanaume wenzake. Hakuma baba hapo ila kuna kituko cha Baba. 😀😃😄😁Niliposema baba yangu amevuka viwango vya baba bora, nilimaanisha na anastahili wala sikukosea.
Baba yangu sio mbaguzi wa watoto, kwamba ajivunie wa kiume tyuu na wa kike asijivunie hilo kwake halipo, alinilea kwa mapenzi, maadili na makuzi yenye kumpendeza yeye na umma kwa ujumla tena kwa msingi thabiti wa imani na dini ya kikristo na kupitia baadhi ya hatua na sakramenti.
Yess anajua wazi uhalisia wa mwanae, huenda ananaumia km unavyosema but hakuna kilichobadilika kwake juu yangu, kuhusu mabadiliko ya kutoka nilivyo na kuwa utakavyo, hayo ni maamuzi na matakwa yangu, na yatafanywa kwa ridhaa yangu pale nitakapohitaji.
Umesema ni kheri ningekua jambazi, mlevi, mwizi, au mvuta bangi kwani ningekua mrithi na shujaa wake bado, sijui unalenga nn hasa, ila hayo yote ni ubatili sio ktk tamaduni wala maadili.
Baba yangu ana amini ktk uhuru binfasi hasa kwa mtu mzima aliye na umri wa kufanya maamuzi juu yake, hivyo hana shida kabisaa.
Aishi sana baba yanguu. [emoji482][emoji482]
Anasema Baba yake anafurahia yeye mtoto wa kiume kupakuliwa nyaaaa. 😀😃😄😁😆We mlongo, mbona mimi sielewi mnachoongelea wewe na huyu Kiungopunda?
Ukoo huo ni mkubwa sana. Huwezi tujua wote. Yeye alikuwa mkulima kule Kiteto na Katesh Manyara Mkuu.Swai yupi? Mi namfahamu yule WA baobab
Nimechekaa sana!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi huyo ni baba wa hovyp zaidi duniani anayebariki mwanaye wa kiume apakuliwe mavi na wanaume wenzake. Hakuma baba hapo ila kuna kituko cha Baba. [emoji3][emoji2][emoji1][emoji16]
Na wewe upunguze kumpiga mizinga. Shida iko hapo. Imagine amekusomesha, na hata sasa unafanya kazi nzuri tu! Lakini mizinga kwa baba hiishi!! 😩Ningemtumia baba yangu ujumbe mzuri ila huwa hata hajibu..!🤸
Hahaaaaaa sasa napaniki nini mkuu japo nachokupendeaga Coca hukasiriki hata tunapokuprovoke. Haya kuwa na Jumapili njema tajiri.Nimechekaa sana!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesha panick tayariiiii, poleeeee sanaaa.
Ni vizuri kuheshimu uwepo wa akina baba kila siku na kufurahia uwepo wao kila siku, hiyo tu inatosha. Kutenga siku moja na kuanza kujaza server za JF na mitandao ya kijamii siyo kabisa.Kama wewe huhitaji ni sawa, baki na mtazamo wako Mkuu, acha wengine tusherekee sababu tunaheshimu uwepo wenu, bila akina baba kwenye maisha wengine tungepoteza ramani, wengine tusingefika hapa tumefika, wengine tusingekuwa presentable kama tulivyo, tusingekuwa na uthubutu kama tuliyonayo.... hivyo acha tuwasherekeee✨️✨️✨️
Afu leo ni Siku ya akina Baba sio Wanaume.
Happy father's day to you..!🤸Na wewe upunguze kumpiga mizinga. Shida iko hapo. Imagine amekusomesha, na hata sasa unafanya kazi nzuri tu! Lakini mizinga kwa baba hiishi!! 😩
[emoji23][emoji23][emoji23]mlongo bhanaa, ni vijimambo tyuu.We mlongo, mbona mimi sielewi mnachoongelea wewe na huyu Kiungopunda?
Asinikasirishe basha wangu anae nikunja 7 na kunihemea puani, ndo mnikasirishe waja wa JF? nimeshavuka huko zamaniii sana.Hahaaaaaa sasa napaniki nini mkuu japo nachokupendeaga Coca hukasiriki hata tunapokuprovoke. Haya kuwa na Jumapili njema tajiri.
Umendika vizuri mno mleta mada, asante sana.Wakuu salama?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?
Wakuu salama?
Leo 16/6/2024 ni Siku ya akina Baba Duniani/Father's Day (ambayo husheherekewa kila Jumapili ya tatu ya Mwezi Juni). Kwa maoni siku hii hatuwasherekei tu wanaume wenye watoto/wanaoitwa baba na wenye upendo kwa watoto wao bali pia tunawasherekea:
- Wale wote wanaotamani kuwa baba kwa muda mrefu lakini bado hawajafanikiwa (Mungu atawasaidia msikate tamaa),
- Baba zetu waliotangulia mbele za haki (Mungu awalaze pema)
- Kina baba wa kesho (Mjipange kwa malezi, msije kutekeleza watoto wenu)
- Single father's ambao wanahakikisha watoto wao hawakosi kitu katika maisha yao na wanapata upendo wote
- Baba ambao uhusiano na watoto wao una changamoto za hapa na pale (endelea kupambana mambo yatakaa sawa)
- Wanaume waliosimama/wanaosimama kama baba kwenye maisha yetu (Mungu awabariki mmekuwa nguzo kubwa kwetu)
- Wanaume ambao wamepoteza watoto wao (Mungu awatie nguvu na faraja).
Katika siku ya leo, una ujumbe gani kwa baba yako?