Hakuna sehemu yoyote niliyokuita chizi umetafsiri vibaya bidadaSo unadhani nimemtengeneza eh! Pole yako naninajua why nimeandika hivyoo . So endelea kuwaita watu machizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sehemu yoyote niliyokuita chizi umetafsiri vibaya bidadaSo unadhani nimemtengeneza eh! Pole yako naninajua why nimeandika hivyoo . So endelea kuwaita watu machizi
Unacheka cheka eeh?ngoja akuone🤔😂😂😂😂 Da mau mbona Yuko fureshiii hana weakness wala sickness ni vile anaishi dunia yake 😜
Kwani hairuhusiwi kuanza maandalizi Kwa kuanza kununua chaji kabla ya Iphone?Sasa mtu anatengeneza mchumba wa imagination unafikiri atakuwa ana akili sawasawa kwanini usikae kimya na unajua upo single huo muda si bora hata ungemwandikia Mama yako
😂😂😂😂Unacheka cheka eeh?ngoja akuone🤔
Unamuandikia mtu ujumbe wa mapenzi ambaye hayupo alafu useme unafanya maandalizi hii haijakaa poa ndio mwanzo wa shida ya akili kuwa kubwaKwani hairuhusiwi kuanza maandalizi Kwa kuanza kununua chaji kabla ya Iphone?
🤣🤣🤣🤣 Da mau anataka adui yake awe adui yako..!!Eeeh Yuko sawa kabisa,as long as umekubali mwenyewe uko upande wake hapana kumcheka na adui wa rafiki yako😁
Usijali yangu me na ww itazid kuwepo daily😁😁😁Why sasa siku ndio inakimbia iyo😬
Ipo.siku utaambiwa haya unayo niambiaHakuna sehemu yoyote niliyokuita chizi umetafsiri vibaya bidada
Hamna bwana we ndio hujui,kasome kitabu Cha The Secrets Cha Rhonda Byrne ujifunze kitu kinaitwa manifestation uone watu wanavyotumia kuattract desire zao....dada Maua Yuko sawa kabisa acha kumtoa akili tafadhali (najua utabisha lkn)Unamuandikia mtu ujumbe wa mapenzi ambaye hayupo alafu useme unafanya maandalizi hii haijakaa poa ndio mwanzo wa shida ya akili kuwa kubwa
Eti nia nzuri kumuita mtu kichaa aiseeNimeongea kwa nia nzuri tu bible vitu kama hivyo ni vyakusaidiana sio vya kukejeli
Msaliti.Usijali yangu me na ww itazid kuwepo daily😁😁😁
Nakuja jiraniMpaka nikuone ndo ntaitikia[emoji17]
Ngoja nikufanunulie vizuri unielewe mental illness maana yake ni ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili umegawanyika sehemu kuu mbili wa temporary ( wa muda ) na permanent (wa kudumu) huu wa kudumu ndio wa ukichaa na huu wa muda, mara nyingi ipo kwa kila mtu ikiwemo Mimi kuna mahala lazima urukwe kiakili ambacho kina mtokea kila mtu mfano Mzuri kuna celebrity mmoja alijinunulia gari akatangaza kuwa amenunuliwa na boyfriend wake huyu sio kichaa ila tu karukwa na akili ndio hii inaitwa mental illness ila ya temporary. Sasa mrembo hakuna sehemu nimekuita wewe ni kichaa na wala kwangu haiwezi ikawa hivyo kumwita mtu hivyoIpo.siku utaambiwa haya unayo niambia
Nimemsaliti nani babe☺️☺️Msaliti.
nimelia sanaNimemsaliti nani babe☺️☺️
Haya sasa humu hii post siwezi sema aliyetolewa ninani na kwanini hapana ni siri yangu huwezi lazimisha unambie mie kicHAA ETI KOSA nimetoa post hii labda wewe unatafura vichaa wenzako.wakutoe outNgoja nikufanunulie vizuri unielewe mental illness maana yake ni ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili umegawanyika sehemu kuu mbili wa temporary ( wa muda ) na permanent (wa kudumu) huu wa kudumu ndio wa ukichaa na huu wa muda, mara nyingi ipo kwa kila mtu ikiwemo Mimi kuna mahala lazima urukwe kiakili ambacho kina mtokea kila mtu mfano Mzuri kuna celebrity mmoja alijinunulia gari akatangaza kuwa amenunuliwa na boyfriend wake huyu sio kichaa ila tu karukwa na akili ndio hii inaitwa mental illness ila ya temporary. Sasa mrembo hakuna sehemu nimekuita wewe ni kichaa na wala kwangu haiwezi ikawa hivyo kumwita mtu hivyo
Kila.mtu anamlalamikia huyu mtu nini kwani??nimelia sana
i don't wanna see you again😢
ametupanga mstari anatuchuna hela😂Kila.mtu anamlalamikia huyu mtu nini kwani??