Happy Women's Day: Una ujumbe gani kwa wanawake leo Siku ya Wanawake Duniani?

Happy Women's Day: Una ujumbe gani kwa wanawake leo Siku ya Wanawake Duniani?

Happy Women's Day.
Ujumbe wangu kwenu akina mama/wanawake:

1. Mpendane nyie kwa nyie kisha ndio akina baba wawapende nyie. Mfano, kwa wale mnaotumia public transport kama umebahatika kupata siti na huna mimba ujaribu kumpisha mwanamke mwenzio mwenye mimba akae kwenye siti. Sio unamuona mwanamke mwenzio ana mimba amesimama wewe unakuwa bize na simu au unajifanya kusinzia ili usimpishe akalie siti.

2. Mwanamke una thamani kubwa sana. Usikubali kuwa na mchumba/mwanaume zaidi ya miezi 3 au 6 kama hajakutambulisha hata kwao/kujitambulisha kwenu. Mwanaume wa hivyo achana nae hana mpango na wewe. Muogope kama unavyoogopa kukalia msumari tena wa moto. Kimbia fanya shughuli yoyote halali inayoingiza kipato chako na ipo siku utajaliwa kupata mme sahihi.

Ujumbe wangu ndio huo kama kuna mtu nimemkwaza mnisamehe bure.

Happy International Women's Day🙏🙏🙏🙏
 
You know what makes me unhappy? When brothers make babies and leave a young mother to be a pappy
And since we all came from a woman

Got our name from a woman and our game from a woman

I wonder why we take from our women

Why we rape our women, do we hate our women?
I think it's time to kill for our women

Time to heal our women, be real to our women
And if we don't we'll have a race of babies

That will hate the ladies that make the babies
And since a man can't make one

He has no right to tell a woman when and where to create one
So will the real men get up?

I know you're fed up, ladies, but keep your head up

Hip Hop Loves Women
 
Happy women’s day wanawake wote wa jamii forums, Mungu atuongoze na atusimamie kwenye kila kitu tunachoendelea kukifanya na atutimizie yote tunayostahili..

Wanawake sisi tumeumbiwa roho za huruma na upendo ndani yetu, nasisitiza sana tuzidi kupendana zaidi sisi kwa sisi, kujaliana na kusaidia pale inapobidi na ukiwiwa kumsaidia mtu just do it kwa upendo na usitegemee chochote kutoka kwake..

kingine tujitahidi kutanguliza vipaumbele vyetu kwanza kabla ya chochote kile, na asitokee mtu akakukwamisha kwa sababu zake binafsi au akakutumia kwaajili ya kufanikisha mambo yake kwanza, regardless huyo mtu ni nani.. Kamwe usikubali kutumika kama daraja watu wakuvukie kila siku ukiwa umesimama sehemu moja

Nawapenda mnoo ma big sisters wa jamii forums, i wish wote tungekua sehemu moja leo tusherekee kwa pamoja hii siku yetu muhimu

Kalpana Missy Gf Tayana-wog Lamomy Ms eyes Depal To yeye Amehlo Unique Flower Carleen Nifah Darlin Nuzulati Aaliyyah Shadeeya Dahan binti kiziwi Dr Lizzy Makiwendo Pridah Madame B financial services ephen_ Mahondaw Mideko cocastic Joanah Joannah Mama Mwana Valentina Mamy K princess ariana Donatila
Nawapenda sana sana sana sana🥰❤️
 
Happy women’s day wanawake wote wa jamii forums, Mungu atuongoze na atusimamie kwenye kila kitu tunachoendelea kukifanya na atutimizie yote tunayostahili..

Wanawake sisi tumeumbiwa roho za huruma na upendo ndani yetu, nasisitiza sana tuzidi kupendana zaidi sisi kwa sisi, kujaliana na kusaidia pale inapobidi na ukiwiwa kumsaidia mtu just do it kwa upendo na usitegemee chochote kutoka kwake..

kingine tujitahidi kutanguliza vipaumbele vyetu kwanza kabla ya chochote kile, na asitokee mtu akakukwamisha kwa sababu zake binafsi au akakutumia kwaajili ya kufanikisha mambo yake kwanza, regardless huyo mtu ni nani.. Kamwe usikubali kutumika kama daraja watu wakuvukie kila siku ukiwa umesimama sehemu moja

Nawapenda mnoo ma big sisters wa jamii forums, i wish wote tungekua sehemu moja leo tusherekee kwa pamoja hii siku yetu muhimu

Kalpana Missy Gf Tayana-wog Lamomy Ms eyes Depal To yeye Amehlo Unique Flower Carleen Nifah Darlin Nuzulati Aaliyyah Shadeeya Dahan binti kiziwi Dr Lizzy Makiwendo Pridah Madame B financial services ephen_ Mahondaw Mideko cocastic Joanah Joannah Mama Mwana Valentina Mamy K
Nawapenda sana sana sana sana🥰❤️
Msg nzuri kutoka kwa mdogo wetu mzuri Leejay49....love u too young sisy be blessed...
❤️‍ ❤️‍ ❤️‍❤️‍ ❤️‍ ❤️‍ ❤️‍ ❤️‍ ❤️‍❤️‍ ❤️
 
Happy women’s day wanawake wote wa jamii forums, Mungu atuongoze na atusimamie kwenye kila kitu tunachoendelea kukifanya na atutimizie yote tunayostahili..

Wanawake sisi tumeumbiwa roho za huruma na upendo ndani yetu, nasisitiza sana tuzidi kupendana zaidi sisi kwa sisi, kujaliana na kusaidia pale inapobidi na ukiwiwa kumsaidia mtu just do it kwa upendo na usitegemee chochote kutoka kwake..

kingine tujitahidi kutanguliza vipaumbele vyetu kwanza kabla ya chochote kile, na asitokee mtu akakukwamisha kwa sababu zake binafsi au akakutumia kwaajili ya kufanikisha mambo yake kwanza, regardless huyo mtu ni nani.. Kamwe usikubali kutumika kama daraja watu wakuvukie kila siku ukiwa umesimama sehemu moja

Nawapenda mnoo ma big sisters wa jamii forums, i wish wote tungekua sehemu moja leo tusherekee kwa pamoja hii siku yetu muhimu

Kalpana Missy Gf Tayana-wog Lamomy Ms eyes Depal To yeye Amehlo Unique Flower Carleen Nifah Darlin Nuzulati Aaliyyah Shadeeya Dahan binti kiziwi Dr Lizzy Makiwendo Pridah Madame B financial services ephen_ Mahondaw Mideko cocastic Joanah Joannah Mama Mwana Valentina Mamy K princess ariana Donatila
Nawapenda sana sana sana sana🥰❤️
Thanks dogo
Tusherekee humuhumu leo tupite naked waone tulivyo wasupaaa
 
Waache kudanga, waache kuomba omba vocha, Mwisho kwa umuhimu wajue kuwa HAKUNA USAWA KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME. HIYO 50/50 NI UPUUZI MTUPU
Jamani 50/50 ni fursa sawa kwenye nyanja mbalimbali... ikiwa unalipwa milioni 10 kwa mfano. wewe mwanaume kama CEO na mwanamke alipwe mil. 10 sababu wote mna sifa zinazowawezesha kusimama kwenye nafasi hiyo, sio tano, mtoto wwa kiume akisomeshwa na wakike asomeshwe, nk, sasa fikiria kutokuwa na uonevu kwenye fursa nyingine zote.

50/50 haionelei gender gani inapaswa kuwa superior kuliko nyingine, sababu hakuna mbora kati yetu, tuko tofauti na baadhi ya vitu tunakutana kama viumbe vyote duniani, lakini tofauti na ufanano kati ya wanawake na wanaume haifanyi mmoja kubwa bora na kudeserve more kuliko mwengine. Ongeza ufahamu kiasi Mkuu, na utengenishe na ideology nyingine zinazojaribu kutengeza chuki na mambo ambayo hayana msingi. Sambaza upendo✌️
 
Wakuu mpo salama?


Siku ya Kimataifa ya Wanawake tarehe 8 Machi, ni muhimu katika kutambua jitihada, harakati na mchango wa Wanawake Duniani kote

Tunasherekea mafanikio ya Wanawake katika nyanja mbalimbali za Maisha kama vile mafanikio binafsi, kihistoria, kiuchumi, kisayansi, kisiasa na kiutamaduni, pamoja na kuhamasisha juhudi za kuleta usawa wa kijinsia Duniani kote

Una dada, mama, shangazi, rafiki ama binti wanaokuzunguka katika mazingira yako, ambao naamimi wanamchango mkubwa katika kufikia hapo ulipo.

Leo katika Siku ya Wanawake una lipi la kuwaambia?
Heshima kwa Wanawake wote.

Ugumu wa maisha/Ajira usiwe sababu Ya nyie kuuza utu wenu.

Mungu awabariki wanawake wote.
 
Back
Top Bottom