Happy Women's Day: Una ujumbe gani kwa wanawake leo Siku ya Wanawake Duniani?

Happy Women's Day: Una ujumbe gani kwa wanawake leo Siku ya Wanawake Duniani?

Acha makasiriko Mkuu, halafu kaangalie uelewe maana ya halisi ya 50/50 kabla hujaja na makasiriko, sambaza upendo✌️
Tusaidie maana,maana wengine hatuijui hiyo sisi tunaamini 50/50 ni mke aweke chake mezani mume aweke chake mezani.

Emb ufafanuzi tafadhali.
 
ujumbe wango kwa Jokate afute kauli yake ya kulewa na kuvimbiwa madaraka kuwa wanaume wasipigiwe kura , yule ni kiazi mviringo kama wengine tu.
Tumsamehe mkuu ndo uwezo wake umeishia hapo.

Kibongo bongo, wanawake extra ordinary kuweza kua viongozi wa kijamii ni wachache mno kama wapo.

Kwenye maisha yangu ya kusoma sijawai meet any of them.

Japo nimekutana na good human being wa jinsi hii, lkn sio kwa level ya kua viongozi, yaani yeye ndo atengeneze njiawengine tupite.

Happt international women day.
 
Happy women day ndio nini hio?

Wakafanye kazi, hakuna kubebwa bebwa wala kupendelewa,si wanataka haki sawa
Wengi Wana mindset ya kuwa JUU ya mwanaume,ndo wanapokosea.wanasahau kwamba wao NI wasaidizi.nawapongeza wenye akili za kuweza kupambanua mambo hata kama Wana pesa kiasi gani au madaraka makubwa kiasi gani.wengi NI fuata bendera tu hawajui maana halisi ya cku hii.wangejitambua kidogo familia zisingekuwa na mamigohoro ya hovyo.Happy women's day.ila kule Afgan Stan sidhani kama kuna hii kitu
 
Jamani 50/50 ni fursa sawa kwenye nyanja mbalimbali... ikiwa unalipwa milioni 10 kwa mfano. wewe mwanaume kama CEO na mwanamke alipwe mil. 10 sababu wote mna sifa zinazowawezesha kusimama kwenye nafasi hiyo, sio tano, mtoto wwa kiume akisomeshwa na wakike asomeshwe, nk, sasa fikiria kutokuwa na uonevu kwenye fursa nyingine zote.

50/50 haionelei gender gani inapaswa kuwa superior kuliko nyingine, sababu hakuna mbora kati yetu, tuko tofauti na baadhi ya vitu tunakutana kama viumbe vyote duniani, lakini tofauti na ufanano kati ya wanawake na wanaume haifanyi mmoja kubwa bora na kudeserve more kuliko mwengine. Ongeza ufahamu kiasi Mkuu, na utengenishe na ideology nyingine zinazojaribu kutengeza chuki na mambo ambayo hayana msingi. Sambaza upendo✌️
Umejibu kwa hekima kubwa had nikakuelewa
 
Ujumbe wangu ni kuwapongeza ba kuwatakia mafanikio mema. Ila nawaomba wazingatie yafuatayo.
1. Majukumu yao katika ndoa na familia.
2. Kuacha kuchukua wanaume wa wenzao kimapenzi.
3. Tunza bikira mpaka siku ya ndoa.
4. Changia mapato yako kwenye ustawi wa familia.
5.chagua marafiki wenye sifa na hadhi bora.
6. Usifuate umbeya.
7. Mshirikishe mumeo katika mipango au miradi yako.
8. Mheshimu mumeo na mpe moyo katika mapambano ya maisha.
9. Heshina kubwa kwa wazazi, ndugu na jamii. Majivuno hayafai.
10. Chagua mume mwenye sifa ya wema na kukujali wewe na familia.
11. Usinywe pombe
12. Uwe unamjua Mungu
 
Back
Top Bottom