rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Warioba alisema ni heri watanganyika wapewe serikali Yao kabla hawajaidai Ina maana kubwaWananchi tukiamua kuuvunja huu muungano uchwara inawezekana.Tatizo wengi waoga.Ila Ipo Sikh uoga utaisha na tutauvunja huu muungano wa kipuuzi
Mkuu 'Thailand',Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanzania bara kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanzania bara kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Pambana na hao viongozi (in fact siyo viongozi), lakini usipambane na Muungano..Sasa kama viongozi wetu hawa equalize mambo sisi wananchi tufanyeje. Si ni kuingia front tu
Vipi kuhusu Sudan Khartoum na South South Sudan Juba?Kuna watu wanafikiri huu Muungano,ni wa watu,au ulitengenezwa kidemokrasia,na unaweza kuvunjwa kwa makaratasi au mahakamani,
Hicho kitu hakipo,kama ambavyo,Mtwara waliishawahi kutaka wajitenge,na rasilimali zao,zisije dar!au mikoa ya kaskazini Arusha,Klm,Tanga kutaka kujitenga,Hilo haliwezekani,deepstste imeamua hivyo!
Zenj,ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Kigoma,Tabora,Tanga,au Singida,sasa unatenga vipi sehemu ya nchi!?hicho kitu hakipo,mtaishia kuumizwa tu,
Kwa wale wanaofatilia duru za kimataifa,watakuwa wanajua kilichowapata wale waliotaka kujitenga wa Jimbo la Catalonia kule Spain,walifulumshwa,wakakimbia nchi,sasa hv wapo jera.
Au fatilia kinachoendelea Hongkong na China,harsfu eti umwambie Mchina,aiache Hongkong iwe huru!!
Don't be naive guys!?Zenj haitatoka ndani ya Muungano,it's a security issue,Kuna vitu ccm wanaweza kufanya,lakini inapokuja swala la Zenj,hapo issue inakuwa sio Siasa Tena,ni survival ya Tanzania!!
Zenj will never go away,get it into ur heads and move on!!Malalamiko ya wananchi yapo Kagera,Kigoma,Tabora,Mtwara,lakini sio sababu za hiyo mikoa kujitenga,Swala la Muungano,ni kubwa kuliko hata Raisi wa Tanzania!!
Hata yeye akilegalega,wapo hardliners watamtuliza tu,
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanzania bara kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Speak for your godarn self.Hamna Mzanzibari yoyote anaepinga Uepo wa muugano
For your information, Zanzibar hakuna dhiki.Danganyika msivungwe na hawa wanaosema eti wazanzibari ndiyo wenye haki ya kulalamika wakati wamejazana na kuzaana sana bara kuliko hata huko kwao kwenye dhiki tupu. Wazenj wanaomba muungano usivunjwe waarabu koko wa Pemba wakajitenga na kuchinjana kama ilivyo asili yao. Zanzibar ina nini cha kuchangia kwenye muungano zaidi ya kuwa kupe kwenye mgongo wa tembo (Danganyika)? Natamani brother Mtikila angekuwa hai awatie kashikashi.
Umesema sawa, ila hata sasa ni mkoa tu na wakubwa wanajua basi wanavunga tuKuna njia mbili za kuvunja muungano.
1. Kutenganisha Zanzibar na Tanganyika.
2. Kuifutilia mbali Serikali ya Zanzibar iwe sehemu ya Tanganyika.
Msipokuwa makini kuna moja litakuja kutokea kati ya haya mawili....
Acha uongo weweFor your information, Zanzibar hakuna dhiki.
Do your home work again.
Bora Tanganyika kuna dhiki kuliko Zanzibar.
Hapo ndy kwenye utata,,Kimsingi Wazanzibar ndio wenye haki ya kulalamika na siyo Watanganyika.
Population yao ni ndogo sana, ni aibu kwa Mtanganyika kuwalalamikia Wazanzibar wakati power zote zipo Tanganyika.