Harakati ya kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Harakati ya kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Mzanzibar ameruhusiwa kununua ardhi Tanganyika ila mtanganyika haruhusiwi kununua ardhi znz, kuna wazanzibar wanakuja Tanganyika wanakua wakuu wa mikoa/wilaya ila mtanganyika haruhusiwi kushika vyeo znz labda wale wa kwenye majeshi
 
Utanielewa tu siku hiyo Zanzibar itakapokuwa huru kwa 100%. Ila siyo sasa.
Ataelewa pale Tanganyika itakapoanza kuwakatia umeme Kwa kushindwa kuulipia, kuwauzia maji, mkaa, mchanga na vitu vingine wanavyochukua bure Huku bara, pale Tanganyika itakapoanza ajira, ardhi ni Kwa ajili ya watanganyika hayo ni Kwa uchache
 
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.

Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.

Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.

Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.

Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Post zingine mnaanza kwenda mbali utakamatwa halafu uanze kulalamika wasiojulikana. Jaribuni kuwa mnaandika mambo kwa mipaka, punguzeni utoto kwenye mambo makubwa na ambayo ni serious kwa nchi
 
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.

Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.

Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.

Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.

Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.

Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Tafuta clip ya Lukuvi utapata idea....
 
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.

Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.

Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.

Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.

Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.

Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Siku muungano huu ukivunjika nitafanya sherehe kubwa na champagne za kumwaga zinanyweka
 
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.

Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.

Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.

Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.

Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.

Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Ungefafanua ni kero zipi za Bara ambazo haziangaliwi, na ni matendo gani wanafanya kuonyesha kua hawatupendi watu wa bara?
 
Muungano uko kwenye maji ya bahari na ulinzi wa nchi. Muungano ni moyo wa Tz , ukitaka muungano ufe unaweza kuanza kufa wewe! Jitahidi sana kutumia ID feki unapoweka mada kama hizi.
 
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
=
 
Siku muungano huu ukivunjika nitafanya sherehe kubwa na champagne za kumwaga zinanyweka
Mkuu SAGAI GALGANO , O - Level ulisoma somo la kemia?, kuna topic ya pili baada what is chemistry ni chemical reactions na by products, yaani kuna vitu ukivichanganya unapata kitu kinachoitwa mixture, kama kuchanya maji na matope, au chumvi na maji, kunakuwa hakuna chemical reactions, hivyo vitu hivyo unaweza kuvitenganisha ukapata zile reagents za awali, lakini muungano wetu ni muungano wa chemical reaction kuunda compound mpya, hauvinjiki!.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama una muda, karibu kwenye mastori, kama huna muda, just jump
Kwa maji na matope unatumia sedimentation process, kutokana na difference density ya water particles na matope, particles za matope zina density kubwa zitazama chini, maji yatakuwa juu hivyo unachuja maji anayatenganisha na tope, mwisho wa siku unatenganisha maji na tope. Kwenye kutenganisha huku, maji yatapotea kidogo kwasababu lile tope la chini litakuwa limeshikiliwa na maji, hivyo ili kupata tena vumbi lazima uache evaporation process I take place ku kausha maji ukabaki na vumbi.

Kwenye kuchanganya chumvi na maji, pia unapata mixture ya maji ya chumvi, hakuna chemical reactions, kuyatenganisha maji na chumvi ni kutumia evaporation process kwa kuyachemsha, maji yataondoka na utabaki na chumvi yako, hayo maji utayapoteza utabakiwa na chumvi.

Hata ukichanganya vimiminika viwili tofauti kama pombe kali na maji, unaweza kuvitenganisha ukapata pombe yako na maji kwa kutumia fractional distillation. Maji na pombe yana boiling points tofauti na latent heat of vaporization hivyo unatumia fractional distillation kuchemsha kwa viwango tofauti, kisha ule mvuke inaupitisha kwenye condenser unapoozwa na kurudi kuwa liquid. Hii pia ndio process itakayotumiwa kwenye ule mtambo wa kuichakata gesi yetu asili kuifanya iwe kimiminika LNG, na kuisagorisha nje kwenye mimeli ya ma tankers.

Kwenye kuchanganya baadhi ya vitu, chemical reactions hutokea na kutoa vitu vipya, yaani new products, hili ikitokea huwezi tena kutenganisha kurudia umbo la awali',

Hicho kinachotokea ni kitu kipya kinaitwa compound ukichanganya punje mbili za hewa ya hydrogen na punje moja ya hewa ya oxygen, h2o, unapata compound ya maji, ikiisha kuwa maji, huwezi kutenganisha tena yale maji ukaondoa ile hydrogen na oxygen, hiki tayari ni kitu kipya.

Ukitumbukiza chuma kwenye concentrated sulfuric acid, chuma kinayeyuka na kugeuka hewa, huwezi kuikusanya hiyo hewa kuigeuzà chuma!.

Kuzaliwa kwa mtoto ni muungano wa mbegu mbili ya baba, sperm na yai la mama, ovum kutengeneza kiumbe zygote, mbegu hizi zikiisha ungana biological process ya uumbaji inakuwa ndio imeanza, ile sperm imekufa na lile yai limekufa na kuumba kiumbe kipya baada ya miezi 9 anazaliwa mtoto. Mtoto akiisha zaliwa, hata wazazi mkigombana huwezi kumgawa mtoto kupata sperm yako na Mama yai lake, it's a complete process na irreversible, ndio maana dini zote zinazuia lile tendo la uumbaji kabla ya ndoa, na kiumbe kikitungwa ni dhambi kukiangamiza!.
Hivyo ndivyo ulivyo huu muungano wetu adhimu ni muungano wa chemical process Tanganyika imekufa, Zanzibar imekufa, Tanzania imezaliwa, huwezi kuifufua Tanganyika, au Zanzibar, Tanzania ni mtoto wa ndoa hii!. This is union for life!. Ni rahisi kwa ndugu na jamaa za Sultan Sayyid Said kurejea kwao Oman kuliko kuuvunja huu muungano wetu adhimu uliongiwa na wajukuu wa ukoo wa MwinyiMkuu ndio wenye Zanzibar yao, achana na hawa wapiga kelele wakuja!.

Wale wanaosubiri kwa hamu muungano wetu huu adhimu ufe, watasubiri sana!, ni kama fisi anavyoona binadamu akitembea anavyo tingisha mikono, anadhani imekatika inakaribia kuanguka, hivyo anaifuata kwa nyuma kuisubiria!.

Tena safari hii Tanzania tuna bahati kumpata huyu Mama ni mtenda haki sana!, kwanza ameruhusu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Kisha kwa vile siku zote kule Zanzibar huwa kuna mtu anashinda lakini hapewi kwa kuhofia hatma ya muungano, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

This time nimeisikia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Kwa vile Mama Samia ni mtu wa haki bin haki this time mshindi atapewa, hivyo acheni hizi kelele za kuutishia muungano na safari hii akanyimwa tena!.

P
 
Mkuu 'Thailand',

Pamoja na kuielewa mada yako vizuri kabisa, lakini wazo tu la "kuuvunja Muungano ni la kihayawani.

Kwa nini uvunje Muungano kwa sababu hafifu kama hizo ulizotaja wewe. Utashindwaje kutatua hizo kero za kipuuzi kabisa ulizoeleza hapa!

Mbona watu wanapenda sana kukuza matatizo yanayochochewa na wapuuzi wachache, hasa walioko huko visiwani.

Wewe huoni kwamba unawafurahisha sana hawa watu wanapokuona unarukwa akili kiasi kile na michezo yao ya kijinga hii inayofanyika sasa, ikichagizwa na hao walioko madarakani sasa hivi.

Sasa nikwambie, hakuna wa kuuvunja Muungano wetu, ila kitakachofanyika ni kuwafanya waTanzania wote, bila kujali mtu katokea wapi, kuwa na fursa sawa katika Jamhuri hii.
Uwe Unguja au Makambako, utajisikia mTanzania kwanza kabla ya umakumbako wako.
Kuna watu mnabwabwaja na hamjui chuki hii ya kuukataa muungano inazalishwaje... ungepata nafasi ya kujua hilo hakika utaukataa muungano.. do your home work. Anza na teuzi za be tozo ndani ya bara na tabia za wateule.
Mzee Paskal nawe unarukaruka mlemle Tanganyika na Zanzibar kazaa Tanzania wakati Zanzibar inaendelea kudai kubaki yai na ihudumiwe kama yai.
 
Kimsingi Wazanzibar ndio wenye haki ya kulalamika na siyo Watanganyika.

Population yao ni ndogo sana, ni aibu kwa Mtanganyika kuwalalamikia Wazanzibar wakati power zote zipo Tanganyika.
Hii ni kweli. Zanzibar kila mtu mmoja unaweza kumpa police hapo shida iko wapi
 
Sioni tatizo lolote kuhusu Ardhi, kuttouziwa wabara. Zanzibar ni ndogo na tukiruhusiwa tutaininuwa yote na wao hawatakuwa na kitu kilichobaki. Na tukivunja muungano watafurahi sana.
 
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.

Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.

Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.

Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.

Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.

Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Naombea Muungano uvunjike Fasta hata leo. Hauna manufaaa kwa sisi Watanganyika.
 
Sisi wa zanzibari tupo wachache lakini tunapinga kukandamiziwa na mkubwa yoyote
Wanaowakandamiza ni wenzenu wanaolamba asali Bara, amkeni mgawane majukumu muwadhibiti
 
Kuna watu mnabwabwaja na hamjui chuki hii ya kuukataa muungano inazalishwaje... ungepata nafasi ya kujua hilo hakika utaukataa muungano.. do your home work. Anza na teuzi za be tozo ndani ya bara na tabia za wateule.
Mzee Paskal nawe unarukaruka mlemle Tanganyika na Zanzibar kazaa Tanzania wakati Zanzibar inaendelea kudai kubaki yai na ihudumiwe kama yai.
Mkuu 'Mwanga Mkali', sitakudharau kama ulivyonidharau mimi kwa kudhani nina akili hafifu kuliko ulizonazo wewe.

Umejuaje kuwa "sijui chuki zinazalishwaje"?

Kwani katika maelezo yangu hapo juu umesoma nikieleza kwamba hayo yote uliyoyataja siyajui? Mbona nimeeleza kwamba ni sababu hafifu sana kwa watu wenye akili kuzitumia kama sababu za kuuvunja muungano!

Hayo uliyoyaeleza na huyo anayeyafanya ndiyo mwenye mali miliki ya muungano?
Huoni kwamba unajidhalilisha mwenyewe hapa na kudhani kuwa muungano ni mali ya huyo mtu tena asiyekuwa na uwezo kamili wa uongozi, kama ulivyoonyesha mwenyewe?

Haya mambo msiwe mnayarukia tu bila kuyaelewa.
 
Back
Top Bottom