Harakati ya kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Wa Tanganyika ni watu wa ajabu sana, rushwa na ufisadi una wamaliza, lawama mna wapa wa Zanzibar, sasa hivi kuna neno maarufu humu kanda ya ziwa, ubaguzi mnao sana halafu kutwa kulia lia hapa
 
Mtikila mpaka anakufa muungano upo, wewe vuvuzela unapiga yowe JF
Aisee wee jamaa ebu ficha empty yako, hivi unadhani kabla ya Nyerere kufanya harakati za uhuru wa Tanganyika unadhani hawakuwepo Watanganyika wengine walioanza hizo harakati kabla yake?
 
Aisee wee jamaa ebu ficha empty yako, hivi unadhani kabla ya Nyerere kufanya harakati za uhuru wa Tanganyika unadhani hawakuwepo Watanganyika wengine walioanza hizo harakati kabla yake?
Kwahiyo wewe ndio unafanya harakati JF , wewe ni vuvuzela tu humu, muungano hauwezi vunjika maana Tanganyika ilishakufa
 
Naunga mkono hoja hao warabu koko hawafanyi kazi wapo tu

Hawana chochote wanachojua Ni kupinga ujenzi wa makanisa
 
Acha ukabila. Na uhasama. Hamna Mzanzibari yoyote anaepinga Uepo wa muugano ila anacholalamika ukandamizaji na mifumo iliowekwa baina ya bara na visiwani.
Sisi wa zanzibari tupo wachache lakini tunapinga kukandamiziwa na mkubwa yoyote.
**** la mama zenu, kwahyo hata Mwakinyo kuja kucheza pambano Zanzibar ni nyie kukandamizwa ?! Ati hamtaki pambano lifanyike Zanzibar kama halimnufaishi mZanzibar, waseg.e mbona nyie huku bara hatuwabagui **** la mabaibui yenu !?
 
We haufai kabisa,mwenzio ameeleza kuwa kero zinazotatuliwa ni za wazanzibari tu,watanganyika tuna kero kibao juu ya huu muungano lkn hakuna anayesimama akatetea,hata kama ww ni ccm jitahidi kuchanganua mambo badala ya kumwona kila anayepinga muungano ni mjinga.Muungano ni wetu sote tunahaki ya kuhoji tunapoona kuna upande unafaidi zaidi,cha msingi iitishwe kura ya maoni tuamue je bado tunahitaji muungano?tuache kulazimishana
 
Tukivunja muungano Kuna nchi moja itaona madhara ya kuwa nje ya muungano itabidi iombe Tena kuungana bila masharti yoyote
Nina imani muungano hauvunjiki, ila lisiloepukika ni kuwa na muungano usiowaona baadhi ya watu toka sehemu moja ya muungano kuwa 'special' zaidi ya wengine.

Huu ndio muungano uliopashwa kuwepo na hakuna njia ya kuzuia usiwepo.
 
Wewe akili yako ni ndogo.
Ni wapi nilipokukataza kuhoji. Unaposoma kilichoandikwa usitake kuweka/kuongeza yako uliyonayo kichwani mwako kwa yale yaliyoandikwa na mwingine.

Ni nani anayekulazimisha kufanya kitu? Kwa akili hii unayoonyesha hapa unayo faida yoyote hata ukilazimishwa?
 
Kimsingi Wazanzibar ndio wenye haki ya kulalamika na siyo Watanganyika.

Population yao ni ndogo sana, ni aibu kwa Mtanganyika kuwalalamikia Wazanzibar wakati power zote zipo Tanganyika.
Unaekewa kinachoendelea sasa kuhusu Zanzibar kama sehemu ya nchi yetu? Tunagawana pato swa bara na vusiwani, inawezekanaje?

Kisa kizazi kimoja kimeshika Jamhuri ya Muungano.

Kuna ushenzi wa kutisha unaendelea. Watanganyika tunanyonywa hadi kamasi.
 
Tena wamchukue na huyu Rais wao hatutaki kumsikia deni tutalipa wenyewe
 
** la mama zenu, kwahyo hata Mwakinyo kuja kucheza pambano Zanzibar ni nyie kukandamizwa ?! Ati hamtaki pambano lifanyike Zanzibar kama halimnufaishi mZanzibar, waseg.e mbona nyie huku bara hatuwabagui ** la mabaibui yenu !?
😎😎😎
 
, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Kitendo tuu cha kufikiria kuuvunja muungano ni uhaini!.
Muungano ni wa life time na umeunganishwa kwa mtindo wa kikemikali wa chemical reaction na kuunda compound mpya, na sio mixture kusema unaweza kuuseparate.

Kitu cha kwanza ambacho wengi hawakijui ule mkataba wa muungano, sio mkataba wa kisheria, ni makubaliano tuu, ya kiungwana, yaani mkataba wa muungano ni an international agreement kati ya mataifa mawili ya Tanganyika na Zanzibar as gentleman's agreement na sio contract!. Contract is enforceable by law, agreement is not enforceable by law. Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.

Kwa vile huu sio mkataba wa kisheria, Wazanzibar mkiaumua, you can just walk away!, sio legal binding, hauna legal provisions zozote za kuuvunja muungano. Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
Na pia Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!

P
 
Povu pro max🤣
 
Wazanzibari ni ngumu sana kuwatofautisha na kupe/ruba.
Kwa upande wao wana nafasi kubwa zaidi ya kujitenga na huu Muungano, na hivyo kuwa na Taifa lao Huru! Lakini miaka nenda wanalilia kero za Muungano tu.

Yaani wapate upendeleo! Badala ya kuja na mkakati wa kujitegemea kwa 100%! Wao wanawaza namna gani watanufaika zaidi kiuchumi na kijamii kupitia Tanganyika. Kama huu siyo ukupe ni nini!!
 

Tanzania kwa ujumla inaendeshwa kwa misaada, mikopo, na kudra za mwenyezi mungu halafu unalalamika Zanzibar kuwa kupe? Mbona hueleweki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…