Utanielewa tu siku hiyo Zanzibar itakapokuwa huru kwa 100%. Ila siyo sasa.Tanzania kwa ujumla inaendeshwa kwa misaada, mikopo, na kudra za mwenyezi mungu halafu unalalamika Zanzibar kuwa kupe? Mbona hueleweki?
Utanielewa tu siku hiyo Zanzibar itakapokuwa huru kwa 100%. Ila siyo sasa.
Ipewe nananiTanganyika tu ipewe mamlaka kamili na haki zake kama ilivyo zanzibar
Ataelewa pale Tanganyika itakapoanza kuwakatia umeme Kwa kushindwa kuulipia, kuwauzia maji, mkaa, mchanga na vitu vingine wanavyochukua bure Huku bara, pale Tanganyika itakapoanza ajira, ardhi ni Kwa ajili ya watanganyika hayo ni Kwa uchacheUtanielewa tu siku hiyo Zanzibar itakapokuwa huru kwa 100%. Ila siyo sasa.
Siyo tena kama Dubai/Singapore!!!Zanzibar itakuwa kama Muscat.
Post zingine mnaanza kwenda mbali utakamatwa halafu uanze kulalamika wasiojulikana. Jaribuni kuwa mnaandika mambo kwa mipaka, punguzeni utoto kwenye mambo makubwa na ambayo ni serious kwa nchiKifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Tafuta clip ya Lukuvi utapata idea....Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Siku muungano huu ukivunjika nitafanya sherehe kubwa na champagne za kumwaga zinanywekaKifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Ungefafanua ni kero zipi za Bara ambazo haziangaliwi, na ni matendo gani wanafanya kuonyesha kua hawatupendi watu wa bara?Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
=Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Mkuu SAGAI GALGANO , O - Level ulisoma somo la kemia?, kuna topic ya pili baada what is chemistry ni chemical reactions na by products, yaani kuna vitu ukivichanganya unapata kitu kinachoitwa mixture, kama kuchanya maji na matope, au chumvi na maji, kunakuwa hakuna chemical reactions, hivyo vitu hivyo unaweza kuvitenganisha ukapata zile reagents za awali, lakini muungano wetu ni muungano wa chemical reaction kuunda compound mpya, hauvinjiki!.Siku muungano huu ukivunjika nitafanya sherehe kubwa na champagne za kumwaga zinanyweka
Hivyo ndivyo ulivyo huu muungano wetu adhimu ni muungano wa chemical process Tanganyika imekufa, Zanzibar imekufa, Tanzania imezaliwa, huwezi kuifufua Tanganyika, au Zanzibar, Tanzania ni mtoto wa ndoa hii!. This is union for life!. Ni rahisi kwa ndugu na jamaa za Sultan Sayyid Said kurejea kwao Oman kuliko kuuvunja huu muungano wetu adhimu uliongiwa na wajukuu wa ukoo wa MwinyiMkuu ndio wenye Zanzibar yao, achana na hawa wapiga kelele wakuja!.Kwa maji na matope unatumia sedimentation process, kutokana na difference density ya water particles na matope, particles za matope zina density kubwa zitazama chini, maji yatakuwa juu hivyo unachuja maji anayatenganisha na tope, mwisho wa siku unatenganisha maji na tope. Kwenye kutenganisha huku, maji yatapotea kidogo kwasababu lile tope la chini litakuwa limeshikiliwa na maji, hivyo ili kupata tena vumbi lazima uache evaporation process I take place ku kausha maji ukabaki na vumbi.
Kwenye kuchanganya chumvi na maji, pia unapata mixture ya maji ya chumvi, hakuna chemical reactions, kuyatenganisha maji na chumvi ni kutumia evaporation process kwa kuyachemsha, maji yataondoka na utabaki na chumvi yako, hayo maji utayapoteza utabakiwa na chumvi.
Hata ukichanganya vimiminika viwili tofauti kama pombe kali na maji, unaweza kuvitenganisha ukapata pombe yako na maji kwa kutumia fractional distillation. Maji na pombe yana boiling points tofauti na latent heat of vaporization hivyo unatumia fractional distillation kuchemsha kwa viwango tofauti, kisha ule mvuke inaupitisha kwenye condenser unapoozwa na kurudi kuwa liquid. Hii pia ndio process itakayotumiwa kwenye ule mtambo wa kuichakata gesi yetu asili kuifanya iwe kimiminika LNG, na kuisagorisha nje kwenye mimeli ya ma tankers.
Kwenye kuchanganya baadhi ya vitu, chemical reactions hutokea na kutoa vitu vipya, yaani new products, hili ikitokea huwezi tena kutenganisha kurudia umbo la awali',
Hicho kinachotokea ni kitu kipya kinaitwa compound ukichanganya punje mbili za hewa ya hydrogen na punje moja ya hewa ya oxygen, h2o, unapata compound ya maji, ikiisha kuwa maji, huwezi kutenganisha tena yale maji ukaondoa ile hydrogen na oxygen, hiki tayari ni kitu kipya.
Ukitumbukiza chuma kwenye concentrated sulfuric acid, chuma kinayeyuka na kugeuka hewa, huwezi kuikusanya hiyo hewa kuigeuzà chuma!.
Kuzaliwa kwa mtoto ni muungano wa mbegu mbili ya baba, sperm na yai la mama, ovum kutengeneza kiumbe zygote, mbegu hizi zikiisha ungana biological process ya uumbaji inakuwa ndio imeanza, ile sperm imekufa na lile yai limekufa na kuumba kiumbe kipya baada ya miezi 9 anazaliwa mtoto. Mtoto akiisha zaliwa, hata wazazi mkigombana huwezi kumgawa mtoto kupata sperm yako na Mama yai lake, it's a complete process na irreversible, ndio maana dini zote zinazuia lile tendo la uumbaji kabla ya ndoa, na kiumbe kikitungwa ni dhambi kukiangamiza!.
Kuna watu mnabwabwaja na hamjui chuki hii ya kuukataa muungano inazalishwaje... ungepata nafasi ya kujua hilo hakika utaukataa muungano.. do your home work. Anza na teuzi za be tozo ndani ya bara na tabia za wateule.Mkuu 'Thailand',
Pamoja na kuielewa mada yako vizuri kabisa, lakini wazo tu la "kuuvunja Muungano ni la kihayawani.
Kwa nini uvunje Muungano kwa sababu hafifu kama hizo ulizotaja wewe. Utashindwaje kutatua hizo kero za kipuuzi kabisa ulizoeleza hapa!
Mbona watu wanapenda sana kukuza matatizo yanayochochewa na wapuuzi wachache, hasa walioko huko visiwani.
Wewe huoni kwamba unawafurahisha sana hawa watu wanapokuona unarukwa akili kiasi kile na michezo yao ya kijinga hii inayofanyika sasa, ikichagizwa na hao walioko madarakani sasa hivi.
Sasa nikwambie, hakuna wa kuuvunja Muungano wetu, ila kitakachofanyika ni kuwafanya waTanzania wote, bila kujali mtu katokea wapi, kuwa na fursa sawa katika Jamhuri hii.
Uwe Unguja au Makambako, utajisikia mTanzania kwanza kabla ya umakumbako wako.
Hii ni kweli. Zanzibar kila mtu mmoja unaweza kumpa police hapo shida iko wapiKimsingi Wazanzibar ndio wenye haki ya kulalamika na siyo Watanganyika.
Population yao ni ndogo sana, ni aibu kwa Mtanganyika kuwalalamikia Wazanzibar wakati power zote zipo Tanganyika.
Naombea Muungano uvunjike Fasta hata leo. Hauna manufaaa kwa sisi Watanganyika.Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Wanaowakandamiza ni wenzenu wanaolamba asali Bara, amkeni mgawane majukumu muwadhibitiSisi wa zanzibari tupo wachache lakini tunapinga kukandamiziwa na mkubwa yoyote
Mkuu 'Mwanga Mkali', sitakudharau kama ulivyonidharau mimi kwa kudhani nina akili hafifu kuliko ulizonazo wewe.Kuna watu mnabwabwaja na hamjui chuki hii ya kuukataa muungano inazalishwaje... ungepata nafasi ya kujua hilo hakika utaukataa muungano.. do your home work. Anza na teuzi za be tozo ndani ya bara na tabia za wateule.
Mzee Paskal nawe unarukaruka mlemle Tanganyika na Zanzibar kazaa Tanzania wakati Zanzibar inaendelea kudai kubaki yai na ihudumiwe kama yai.
Kweli sasa huyu mama atakuwa kama Gobachev, hatakubari?/Mtaua Watu Kwa Pressure
Ukuvunjika Ujue Kuna Watakaokufa