Harakati za Kiongozi Wa Mbio za Mwenge Mwaka 2022

Harakati za Kiongozi Wa Mbio za Mwenge Mwaka 2022

Unatesti barabara inayopita gari ilobeba matani kibao kwa kuchimba na sururu..??🙄

Ko akishindwa kubomoa ndo imekidhi viwango au🤔
 
Anatekeleza ilani ya chama..absurd

#MaendeleoHayanaChama
 
hapo alitoboa wataziba kabla ya kuondoka?Mwenge umekua Chanzo cha uharibifu wa barabara hiyo
 
Ikumbukwe kwamba Makamu wa Rais , Mh Philipo Mpango hivi karibuni alizindua mbio za Mwenge huko Njombe , ambako ilisisitizwa kwamba ni lazima miradi itakayozinduliwa na Mwenge wa Uhuru iwe ni yenye ubora wa hali ya juu .

Hapa chini ni kiongozi wa mbio hizo za mwenge akitii maagizo ya Serikali kwa kuamua kupima ubora wa Barabara wakati mbio za Mwenge zikiendelea huko Njombe

Moja_ya_mambo_yanayofanya_Afrika_tuitwe_bara_la_giza_ni_kama_haya._Just_imagine_huyu_ni_kiongo...jpg
 
Ikumbukwe kwamba Makamu wa Rais , Mh Philipo Mpango hivi karibuni alizindua mbio za Mwenge huko Njombe , ambako ilisisitizwa kwamba ni lazima miradi itayozinduliwa na Mwenge wa Uhuru iwe ni yenye ubora wa hali ya juu .

Hapa chini ni kiongozi wa mbio hizo za mwenge akitii maagizo ya Serikali kwa kuamua kupima ubora wa Barabara wakati mbio za Mwenge zikiendelea huko Njombe

View attachment 2177899
Duh CCM Ina vichaa wengi sana ukimuacha mwendazake
 
Sululu moja tu lami chaliiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mm nichukue sululu nitindue hii morogoro road hapa mbezi, nione ubora wake
 
Kazi zingine hizi

Kwanini sururu litumike kupima Ubora wa barabara ya Lami ba sio tairi?

Kwani kuna magari ambayo matairi yake yamechongoka kama ncha za sururu?

Ngoja tuone
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Watu kama hawa wanaharibu kabisa image ya CCM, huyu si anaweza ku-test hata chakula chenye sumu kwa kukionja - kweli CCM imebeba abilia wengi.

Pole Kinana, hawa ndiyo vijana wako watakaokilinda chama cha Mapinduzi.
 
Back
Top Bottom