Tindua uone,ndugu zako watakukuta Oyster Bay au Msimbazi kwa uhujumu wa miundombinu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sululu moja tu lami chaliiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mm nichukue sululu nitindue hii morogoro road hapa mbezi, nione ubora wake
Anajua nini kuhusu barabara? angalia wanavyoharibu barabara na sululu lao hapo, ufala sijui utaisha lini
..Mwenge umulike wanaohujumu miundombinujamani huko ndio kupima ubora kwenyewe , Anaupiga mwingi sana
Inashangaza. Huyu kiongozi wa mwenge ni mwanasisa anayeabudu ushirikina. Ana abc za construction engineering aweze kukagua ubora wa barabara?Unatesti barabara inayopita gari ilobeba matani kibao kwa kuchimba na sururu..??🙄
Ko akishindwa kubomoa ndo imekidhi viwango au🤔
Alafu yeye siyo mhandisi.Huyo kiongozi atakiona cha mtema kuni , anaenda style ya Jiwe
Bora angetumia rebound hummerHii ni dharau kwa civil engineering na inapaswa kukemewa. Sio kila layer kwenye barabara haiwezi kuchimbika kwa kutumia sululu na ikichimbika haimaanishi iko chini ya kiwango. Hasichokijua ni kwamba chisel na nyundo ndogo huwa vinatumika kuchimba vishimo kwenye layer ili kutestiwa.
Kingine hiyo barabara ni kiwango cha SD sio ile lami nyingine na chini yake ni layer ya granular material na vyote hivi ni rahisi kuchimbika na sululu ukitumia nguvu ya kawaida na haimaanishi kuchimbika basi ni chini ya kiwango...dah basi ngoja niishie hapa.
Kipimo Cha weledi wakikwetu kwetu.;View attachment 2210983
Napata taabu kufikiria hawa wenzetu wakimbiza mwenge wakirarua barabara kwa vipimo vya kikwao kwao.
TANROADS watujuze hiki ni kipimo gani?
Serikali TANROADS) inaingiliwa na siasa zisizoeleweka nayo iko kimya tu.Kipimo Cha weledi wakikwetu kwetu.