Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Tuache utani huyu harmo rapa yuko vizuri sana upande wa kiki he is always strategically positioned tatizo anaogopa binduki
 
Bora na wewe umeona usalama anavaa minguo ya kishamba namna ile kama katoka misungwi leo.
Naona watu mmeongelea sana swala la nguo za "kishamba" lakini kumbukeni hizo nguo ndo zinazomsaidia kutenda kazi bila kudhanika, wanasemaga "usiemdhania ndiye"
 
Tuache utani huyu harmo rapa yuko vizuri sana upande wa kiki he is always strategically positioned tatizo anaogopa binduki
Kukimbia ndio kumempa kiki zaidi!daaah jamaa kafika kwa wakati,yaani mle mle!
 
Bastola yenyewe aliiweka mkono wa kushoto wakati yeye anatumia mkono wa kulia, huyu tiss hana uzoefu wa kutumia bastola, kwanza anaitoa bastola kishamba kabisa
Bado hujajua Matumiz ya bastola Kwahiyo kaa kimya,zungumza mambo mengine
 
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]


😀

😀
 
Huyu dg hawez kiki, bastola aonyeshewe mwingne, yy ageuke kuwa baja, inaingia akilini kweli hii? Kumbe ata mose iyobo akimpa bit kiduchu tu atsnywew
 
Kilochoteka hapo na unprofessional kabisa... Hata kama umeagizwa kazi, kutumia akili za kuzaliwa ni mihimu sana pia...


Mpaka anaambiwa ataaharibu mambo sasa... lakini bado anapandisha jazba...


Ni hatari sana kwa kweli...
Wewe ulivyomuona alivyo na papara unadhani hata hizo akili za anazo?
 
Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.


Unawasingizia TISS bure huyo ni polisi wa kawaida ila mnaliona hili leo kwa Nape mbona kina Lema na Lisu wanaonyeshwa iyo kitu kila wanapotakiwa kukamatwa
 
KWA HIYO MKUKI MTAMU KWA NGURUWE,KWA BINADAMU MCHUNGU SIYO ? WAKATI WANAPOKAMATWA AKINA MBOWE,LEMA, LOWASA,MBONA NA WAO WAO WALITOLEWA BASTOLA LAKINI HAMKULALAMIKA.AKINA DR.ULIMBOKA WALIPOTEKWA WAKAENDA KUNG'OLEWA MENO NA KUCHA,MBONA PIA WALITOLEWA BASTOLA? AU WAO SIO BINADAMU ? ACHENI HIZOO....
 
Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.


Huyo atakuwa amefundishiwa mahali pengine wanapofundishia wajinga wenzake..
 
Mwanamke atakayeolewa na huyu jamaa lazima awe mkimbiaji lazima mtetezi hana!

Kanichekesha sana.
 
Mie mwenyewe nimeshangaa!I expected them to be people from the same system lakini hawaonyeshi kuwa na team work.
Hili tukio limenistua sana,i keep on repeating again and again hii clip siamini nnachokiona.
Mpaka raia wanasogea na kuwatulizeni maafisa usalama,sasa nani aliye salama,wewe mwenye fani yako au yule raia mbumbumbu?Doh!
Narudia kuitazama tena na tena ili akili yangu ielewe na kuamini kuwa ni tukio halisi maana ajili yangu iliamini kuwa tukio hilo ni filamu ya bongo. Eti hao ndio wanausalama wetu.
 
Back
Top Bottom