Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapotea vipi wakati wote boss wao ni Kusaga? hizo ni strategy za biashara dogo.Akitaka apotee kwenye ramani aondoke WCB
Boss ni kusaga, kina Tale na Salam waliwekwa na Ruge. Imagine Fela ni manager wa Diamond anafanya kazi gani? ana mipango gani? ni watu ambao aliwaweka Ruge na leo mkataba unamtafuna Dai.Hivi Harmonize hapa si ndio boss, au hii mambo ikoje? Nilitegemea useme yuko na timu yake. Mfano Wasafi Diamond si ndio boss wao, au ni Fela?
Na yale magari anayotoa zawadi kwa wazazi wake na wasanii wenzie!!?? Kataa/kubali, ukweli ni kuwa maisha ya Harmo yamebadilika sana chini ya WCB. Issue ya kuondoka si dhambi ila issue ni anaondokaje?Haya mambo bhana... Kama nakumbuka vyema Harmonize alisema, picha za Instagram sio maisha halisi. Hamuelewi tu.
Kwanza, Email ya kufanya booking kwa huyu jamaa bado ni ile iliyokuwepo since day one. Sijui nyie hizi habari mnazitoa wapi
Issue ni anaondokaje?Kwani ilitakiwa akae wasafi mpaka anakufa eti
Fikra za kimasikini. Kusaga hana utajiri huo unaofikiria wa kummiliki kila mtu. Kwa taarifa yako Mondi kwa hatua aliyofikia kiuchumi anakaa dawati moja na huyo tajiri wako.Atapotea vipi wakati wote boss wao ni Kusaga? hizo ni strategy za biashara dogo.
Wcb sio mungu tambua Hilo km suala ni kumsaidia hata diamond apo alipo fika kuna watu wamemsapoti weee Nani mpaka umtabirie mwenzio kupotea!harmonize songa mbele wamakonde wote tuko nyuma yako[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]km hutaki bana chooAkitaka apotee kwenye ramani aondoke WCB
Bora ulivoulizaKivipi?
HaswaaSio mbaya kwan hata mentor wake alikikuwa under watu kitambo akajikataaa ndo aka build empire yake SASa mwamba nae kaota ndevu mbili acha akajenge empire yake tuu[emoji23][emoji23] tupate wapinzani wapya mujini
Km wwyupo kaburini
Hongera zakePole yake
Wambie mwamba utazani wao ndio mungunaona miungu watu a.k.a wapiga ramli mshaanza maneno...kwani kila msanii tanzania yupo WCB
Voko na kondelist vitu viwili tofautiYatamkuta kama yaliowakuta wengine kina mavokohozi[emoji85][emoji85]
Ww ndo umemsahau sie twamuimba kila siku kawaulize south sudan alichowafanyia kila SAA wanamuimbaHarmonize ni nanii?
Tushamsahau
*Vanny to the world*