Harmonize akiwa na Boss wake mpya

Harmonize akiwa na Boss wake mpya

Hata Diamond alitengenezwa na akina Ruge Ila Mda ulipofika. Akapata wapambe Nakujitenga nao,.

Muacheni Dogo ajitengenezee Himaya Yake
Sijui ni damu ya enterpreneurship au ni nn lakin sipendi mtu anaepiga chini ya mkanda...huyu jembe ni jembe anakosea sana mtu katengenezwa mpaka kawa hivyo then unaanza lobbying na hatimae atamtupa tu..mbaya sana...kwenye biashara mtu wa namna hii sipatani nae kabisa
.....jamaa ataivunja wasafi in a Half...Believe me !
 
Kwa mawazo ya wengi humu nimegundua risk taking is not our thing,Diamond asingekua na mawazo kama ya Harmonize angebaki kwa Ruge
Man, huyu Ruge watu wanampa tu credit kwa sababu tumeaminishwa Ruge ndie mastermind wa kila kitu kwenye tasnia ya muziki hapa bongo! Diamond alianza na Chifu Kiumbe, na ndie naweza kusema mwenye mchango mkubwa!! Baadae Chifu Kiumbe akaamua kuachana na masuala ya burudani na kumrudia Mungu wake!! Kuona hivyo, Diamond akaenda kwa Tale kuomba amsimamie labda kwavile alikuwa anayaona mafanikio ya Tip Top Connection! Tale kwa kuona Diamond ni mkubwa sana (kwa sababu alienda kwa Tale wakati tayari yupo juu), nae akamuomba Fella washirikiane, kwa sababu Tale mwenyewe amekiri mara kadhaa kwamba role model wake yeye ni Said Fella!!

Enzi hizo, Sallam issues zake ilikuwa ni kuleta wasanii kupiga shows Bongo, na ali-base sana Nigeria! Na kwa kipindi hicho, alikuwa anam-manage Mr. Nice lakini hawakufika mbali! Kwa kuona connection za Sallam na Nigeria, ndipo Diamond akaomba amkutanishe na Davido (kama utakumbuka, Ommy Dimpoz alishawahi kuzungumzia suala la Diamond kumletea figisu kwa Davido), na hapo ikazaliwa Number One Remix!! Lakini kwavile Sallam alishaanza kum-manage Mr. Nice na hawakufika mbali, connection yake kwa Davido ikazaa u-manager, huku Diamond akitaka kutumia fursa aliyonayo Sallam kwa Nigerians!!

So, sikatai kwamba Ruge ametoa mchango wa hapa na pale, lakini mchango mkubwa kabisa kwa Diamond umeanzia kwa Chifu Kiumbe ambae ndie alilipia albamu mzima, kisha akina Sallam, Tale, na Fella bila kumsahau Bob Junior ambae alimrekodia Nenda Kamwambie for free!!!

Diamond wakati ana-hustle, aliwahi kwenda pale THT, lakini "akatolewa nduki" kwa kigezo kwamba hajui kuimba!! Hapa tukumbushane kwamba, THT ilikuwa chini ya Ruge huyo huyo tunayeambiwa kwamba kama si yeye, Diamond asingefika pale alipo!!! Mchango wowote wa Ruge ulikuja baada ya kuwa Diamond ameshatengenezwa na kuwa mkubwa Tanzania. Inawezekana sana ukaribu wa Sallam (enzi hizo) na Clouds ndio ulifanikisha Diamond kuwa na Sallam! Lakini kama ndivyo, je lile suala la Mr. Nice na Sallam na lenyewe lililetwa na Clouds?!

Kwa historia ya THT, ni Barnaba ndie alibebwa na mbeleko ya Ruge kwa sababu na yenyewe alitolewa nduki live lakini Ruge akawaambia nafasi nyingine! Ni kutokana na hilo, ndio maana Barnaba alilia sana kwenye msimba wa Ruge!!
 
Hata Diamond alitengenezwa na akina Ruge Ila Mda ulipofika. Akapata wapambe Nakujitenga nao,.

Muacheni Dogo ajitengenezee Himaya Yake
Hivi huyu Ruge mnayesema ndie alimtengeneza Diamond, alimtengeneza lini?! Man, kabla Diamond hajawa chini ya akina Tale, alikuwa na Papa Misifa na sio Ruge!!
 
Simshangai kwa sababu amekua kisanaa na kiakili pia siku zote mtoto akikua kiakili anahama nyumbani kwa baba yake anakwenda kutengeneza mji wake anajenga familia yake ila akidumaa atafika miaka 40 nakuolea nyumbani anabakia kusubiri baba afe arithi nyumba na mali

Binafsi nnampongeza harmonize sababu ana akili ameweza kujitambua mapema kutengeneza ngome yake ili na yeye awape vijana wengine ajira

Domo kama ni mwerevu na ana roho safi kama anavyo jionesha kwa jamii alitakiwa ampongeze tena amuongezee na mtaji kisha afanye sherehe kuthibitisha kwamba kijana wake amekua na anaweza kujitegemea nadhani hiyo ndio itakua fahari kwake zaidi
Mkuu wakina juma nature walijalibu kuachana na saidi fella angalia saizi wako wapi wameishapotea. Juma nature alikua maarufu kuliko diamond saizi enzi hizo akawa hadi ana drive benz na ma show hadi south africa
 
Ukiona watu wanaondoka jua kuna kitu si bure, unaweza kuta wanaingia a billion alafu msanii mwenyewe anaishia kuonja 30mil, less than 10% ya anachoingiza (speculation). Ila si bure wasanii wanakuja na kuondoka tu. Tatizo watu wanamuona mond ka mungu wanasahau jamaa binadamu tu na anapenda hela kama wengine. Alitengeneza wcb kupiga hela sio kutoa msaada. Kama konde boy anataka kusema ngoja asepe, ashakua hyuu si mtoto tena.
Duu umesoma ulichoandika kweli?? Umeona wapi mtu anawekeza sehemu isiyo na faida.
 
Wasiwasi wangu ni experience ya huyo Jembe ni Jembe, sidhani kama anaconnection kubwa kwenye industry hasa kimataifa kumzidi Sallam SK, huyu jamaa anafanyia majaribio kupitia Harmonize, kama matokea hayatakua sawa na expections zake basi huo ndo utakua mwisho wa Harmonize. Kwa sasa tuuachie muda utatupa majibu.
Jembe ni jembe kwa kule mwanza ni Guru ana hadi radio station
 
Muziki wetu haukui kwasababu hii..... labda mnisaidie, hamonize anapendwa kwasababu ya kazi zake au kwasababu ya kuwa member wa wasafi?
kama maproducer ni walewale.na sauti yake ni ileile tatizo litakalomfelisha ni lipi kama sio uchawi wa roho za kwanini kuhakikisha asongi ili isemwe sababu ni kutoka wasafi...
Tunatakiwa tuwe na wakina hamonize, kiba na mond wengi sana ila kwa tabia hizi tutabaki na wasanii walewale kila siku huku ubzunifo ukiendelea kuwa ziro.
kama anaondoka kwanini wasimpe baraka na sapoti ya huko aendapo au ndio.watakatazwa mpaka maproducer kumrekodia?
 
Boss ni kusaga, kina Tale na Salam waliwekwa na Ruge. Imagine Fela ni manager wa Diamond anafanya kazi gani? ana mipango gani? ni watu ambao aliwaweka Ruge na leo mkataba unamtafuna Dai.
Toa bangi zako hapa eboooooh
 
Boss ni kusaga, kina Tale na Salam waliwekwa na Ruge. Imagine Fela ni manager wa Diamond anafanya kazi gani? ana mipango gani? ni watu ambao aliwaweka Ruge na leo mkataba unamtafuna Dai.
Kwa hoja yako hiyo unataka kutuambia hata Wanaume walikuwa chini ya Ruge lakini Fella aliwekwa tu pale!!! Ile Tip Top ya akina Abdul Bonge ambayo ilikuwa ina-shine sana enzi zile na yenyewe ilikuwa chini ya Ruge na akina Tale waliwekwa tu pale na Ruge!! Hivi una habari huyo Diamond alishawahi kutimuliwa pale THT kwa hoja kwamba hajui kuimba?! Sasa huyo Ruge alianza kum-manage Diamond lini hata hiyo kimya kimya?! Manake hata enzi za Smooth Vibes, Diamond hakuwepo!!
 
Kabis
Simshangai kwa sababu amekua kisanaa na kiakili pia siku zote mtoto akikua kiakili anahama nyumbani kwa baba yake anakwenda kutengeneza mji wake anajenga familia yake ila akidumaa atafika miaka 40 nakuolea nyumbani anabakia kusubiri baba afe arithi nyumba na mali

Binafsi nnampongeza harmonize sababu ana akili ameweza kujitambua mapema kutengeneza ngome yake ili na yeye awape vijana wengine ajira

Domo kama ni mwerevu na ana roho safi kama anavyo jionesha kwa jamii alitakiwa ampongeze tena amuongezee na mtaji kisha afanye sherehe kuthibitisha kwamba kijana wake amekua na anaweza kujitegemea nadhani hiyo ndio itakua fahari kwake zaidi
 
Harmonize kuondoka WCB si sababu ya kukua ila mshiko ndio tatizo.
Naona mkataba ameona wambana sana
 
Simshangai kwa sababu amekua kisanaa na kiakili pia siku zote mtoto akikua kiakili anahama nyumbani kwa baba yake anakwenda kutengeneza mji wake anajenga familia yake ila akidumaa atafika miaka 40 nakuolea nyumbani anabakia kusubiri baba afe arithi nyumba na mali

Binafsi nnampongeza harmonize sababu ana akili ameweza kujitambua mapema kutengeneza ngome yake ili na yeye awape vijana wengine ajira

Domo kama ni mwerevu na ana roho safi kama anavyo jionesha kwa jamii alitakiwa ampongeze tena amuongezee na mtaji kisha afanye sherehe kuthibitisha kwamba kijana wake amekua na anaweza kujitegemea nadhani hiyo ndio itakua fahari kwake zaidi
eti domo' wewe li kichwa lako hulioni bayaaaa 😆 😆
 
Sio mbaya kwan hata mentor wake alikikuwa under watu kitambo akajikataaa ndo aka build empire yake SASa mwamba nae kaota ndevu mbili acha akajenge empire yake tuu[emoji23][emoji23] tupate wapinzani wapya mujini
Ulicho kiandika umekisoma? Harmonize anaenda kuwa chini ya uongozi/usimamizi/managemnt chini ya jembe ni jembe sasa hapo anajenga empire ama?
Huku uongozi wa WCB kupitia Said Fella ukisisitiza hautabembeleza Harmonize kutumbuiza Wasafi festival na Kama Harmonize anataka kuondoka aage kwa amani.
Harmonize amekuwa akionekana na boss wake mpya Jembe Ni Jembe wakipanga mikakati mbalimbaliView attachment 1186225View attachment 1186226
 
Back
Top Bottom