mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wazungu hapo wanasema KUPANDA NA KUSHUKA KWA HARMONIZE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAHuyu mmakonde
Ngoja muda utaongea !
Atakuwa bonge la fala.
Bora aage kwa amani wakubaliane tu kwamba naye inabidi apae sasa kwani amelelewa vyakutosha ila kujifanya nyota wakati wasafi ndo wamemtambulisha ulimwenguni ni dharau ambayo sisi waswahili tunaufanya lakini inamadhara makubwa sana.
Inafahamika hawezi kubaki Wasafi maisha yote kwani inabidi wasanii wengine pia wapewe fursa ya kung’aa ndo tasnia iendelee na wengine nao wapate hela ila heshima ni muhimu.
Diamond alimbeba vizuri asije akaharibu
[/QUOT
Usimpangie mtu maisha aisee riziki anaitoa Mungu popote ulipo ni huwezi mpangia maisha kila mtu anamipango yake kwenye maisha kuna kujaribu na kunakushuka na kupanda, alichokifanya ni sawa atapata taabu kwa wakati lakini ni bora amejaribu kuliko kuwa muoga wa maisha.Akitaka apotee kwenye ramani aondoke WCB
Sasa wewe ulitaka abakiee hko wasafi mpaka mwisho.......Atakuwa bonge la fala.
Bora aage kwa amani wakubaliane tu kwamba naye inabidi apae sasa kwani amelelewa vyakutosha ila kujifanya nyota wakati wasafi ndo wamemtambulisha ulimwenguni ni dharau ambayo sisi waswahili tunaufanya lakini inamadhara makubwa sana.
Inafahamika hawezi kubaki Wasafi maisha yote kwani inabidi wasanii wengine pia wapewe fursa ya kung’aa ndo tasnia iendelee na wengine nao wapate hela ila heshima ni muhimu.
Diamond alimbeba vizuri asije akaharibu
Amekuwa,ni jambo la maana sana,uongozi wa wasafi hususani Chief dangote,Platinum,inabidi aelewe tu.Huku uongozi wa WCB kupitia Said Fella ukisisitiza hautabembeleza Harmonize kutumbuiza Wasafi festival na Kama Harmonize anataka kuondoka aage kwa amani.
Harmonize amekuwa akionekana na boss wake mpya Jembe Ni Jembe wakipanga mikakati mbalimbaliView attachment 1186225View attachment 1186226
yupo kaburiniKwani Ruge Mutahaba yupo Wasafi??
naona miungu watu a.k.a wapiga ramli mshaanza maneno...kwani kila msanii tanzania yupo WCBAkitaka apotee kwenye ramani aondoke WCB
Hakuna biashara isiyo na unyonyaji my frnd... JnJ naye anatafuta njia ya kunyonyaKwani hiyo Wasafi nayo inanyonya wasanii?
Wasiwasi wangu ni experience ya huyo Jembe ni Jembe, sidhani kama anaconnection kubwa kwenye industry hasa kimataifa kumzidi Sallam SK, huyu jamaa anafanyia majaribio kupitia Harmonize, kama matokea hayatakua sawa na expections zake basi huo ndo utakua mwisho wa Harmonize. Kwa sasa tuuachie muda utatupa majibu.
Kwani Ruge Mutahaba yupo Wasafi??
VP kama ameaga na wanamkatalia?Mtoto ukikua unaaga kwa baba kuwa sasa nahama hapa home nimepata kazi, nimepata mchumba, kisha mzee anakupa mabaraka yake unasepa. Sasa huyu mtoto kakua tumuombee atusue lakini aondoke home kwa amani zote.
Yatamkuta kama yaliowakuta wengine kina mavokohozi[emoji85][emoji85]Huku uongozi wa WCB kupitia Said Fella ukisisitiza hautabembeleza Harmonize kutumbuiza Wasafi festival na Kama Harmonize anataka kuondoka aage kwa amani.
Harmonize amekuwa akionekana na boss wake mpya Jembe Ni Jembe wakipanga mikakati mbalimbaliView attachment 1186225View attachment 1186226