Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Katika kundi lao WCB yoote hakuna msanii anaejua kuimba vizuri kama Harmonize nakuambien Harmonize hata akiondoka wasafi atagombaniwa na menegmnt kibao hapa bongo na nje ya Tanzania ana nyimbo zenye maisha marefu sana mfano Aiyola Bado Hbd Niambie ni nyimbo zinazoishi milele kwa tungo sauti na melody laini ya kubembeleza ila Huyo Lava lava ndio kashaisha Raymond atabaki tu kwa sababu ni mtoto wa marehemu chande yaan tangu aanze ana nyimbo moja tu KWETU zingine zinakuja lakini hazina ujumbe wala ladha wala nin yaan Kimziki Raymond ni wakawaida sana kama sio promo hana heat song. Mavoco sina neno lakini hajafit kwenye ala za WCB nadhani ana anga zake sio pale ni hayo tu lingine sina.
Nimekuelewa sana Mkuu.
 
Harmonize....Sitaaki Kuongelea Zile Haso zake za BSS....zile haso zake za kutoka hadi Diamond kuja kumuona Na kuamua Kumsign Na kuwa msanii wake Chini ya WCB! Alitoa Aiyola ikamtambulisha....akaachia Kidonda changu ikamuongezea utambulisho lakini Diamond Alimtambulisha zaidi na Zaidi kupitia show na Kuamua Kushi nae Nyumba Moja! Mwishowe akumueka kwenye nyumba Yake alionunua Diamond! Ila sahizi sijui Wapi anakaa.....Bado ikamzidisha kumtambulisha hadi sasa pamoja na Kiki zote!

Mimi shabiki wa WCB na Nina wapenda wasanii pale....lakini Kasumba Moja kubwa ya wasanii wa WCB ni hawajui kufanya INTERVIEW....hilo liko wazi na Hapo ndipo huwa wanafeli japo majigambo kwa Msanii ni kawaida!

Ila Harmonize hajui INTERVIEW kuliko msanii yeyote pale WCB kujieleza hajui ni mtu anae tamani kuongea kila kitu kwenye Interview Moja! Pamoja na Tabia zake zingine Lakini sijui

Ila naweza kusema kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga na WCB na hata ondoka kwa Mazuri watagombana sana Kupitia Media na huo utakuwa mwisho wa HARMONIZE ......Kama huamini haya niyasemayo Jaribu kufuatilia interview zote za HARMONIZE hivi karibuni utaelewa nacho ongea......Managament yake na Harmonize hamna dalili nzuri siwezi sema ni Kisa MZUNGU ila Harmonize anatabia fulani hivi si nzuri japo sijaishi nae!.....Harmonize nilicho jifunza ana Nidhamu ya woga na hii itamfanya asepe Mapema WCB

Dalili ya Mvua ni Mawingu.....Wazungu wasema Time Will Tell....Ngoja nitunze akiba ya Maneno yangu lakini akili yangu inanituma na kunambia kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB na watagombana na Kundi la WCB

Ingekuwa ni uwezo wangu ningezuia hiki kisitokee lakini sina jinsi mm ni mshabiki wa kawaida tuu!!! Ila yule MZUNGU SIJUI kama WCB wamemkubali nafikiri hapana......Japo HARMONIZE KUWA na MZUNGU mimi sio sababu ya Kusema Kuwa HARMONIZE ATAJIENGUA WCB!

Ila kwa Dalili hizi......mmmmmmh

Danya
si ulete hiyo interview tusikie hiyo mipaka aliyopitilkza
 
mnamuonea wivu jamaa kuopoa mzungu..mbona bosi wao ameopoa kibibi hamsemi
 
Mmakonde anadharau sijapata kuona..Mark X aliyokopeshwa na wasafi ameuza kawarudishia pesa yao...anavimba kwenye prado
 
Katika kundi lao WCB yoote hakuna msanii anaejua kuimba vizuri kama Harmonize nakuambien Harmonize hata akiondoka wasafi atagombaniwa na menegmnt kibao hapa bongo na nje ya Tanzania ana nyimbo zenye maisha marefu sana mfano Aiyola Bado Hbd Niambie ni nyimbo zinazoishi milele kwa tungo sauti na melody laini ya kubembeleza ila Huyo Lava lava ndio kashaisha Raymond atabaki tu kwa sababu ni mtoto wa marehemu chande yaan tangu aanze ana nyimbo moja tu KWETU zingine zinakuja lakini hazina ujumbe wala ladha wala nin yaan Kimziki Raymond ni wakawaida sana kama sio promo hana heat song. Mavoco sina neno lakini hajafit kwenye ala za WCB nadhani ana anga zake sio pale ni hayo tu lingine sina.
Kaka umeongea point tupu....harmonize anajua ila apunguze tu mashauzi
 
Harmonize....Sitaaki Kuongelea Zile Haso zake za BSS....zile haso zake za kutoka hadi Diamond kuja kumuona Na kuamua Kumsign Na kuwa msanii wake Chini ya WCB! Alitoa Aiyola ikamtambulisha....akaachia Kidonda changu ikamuongezea utambulisho lakini Diamond Alimtambulisha zaidi na Zaidi kupitia show na Kuamua Kushi nae Nyumba Moja! Mwishowe akumueka kwenye nyumba Yake alionunua Diamond! Ila sahizi sijui Wapi anakaa.....Bado ikamzidisha kumtambulisha hadi sasa pamoja na Kiki zote!

Mimi shabiki wa WCB na Nina wapenda wasanii pale....lakini Kasumba Moja kubwa ya wasanii wa WCB ni hawajui kufanya INTERVIEW....hilo liko wazi na Hapo ndipo huwa wanafeli japo majigambo kwa Msanii ni kawaida!

Ila Harmonize hajui INTERVIEW kuliko msanii yeyote pale WCB kujieleza hajui ni mtu anae tamani kuongea kila kitu kwenye Interview Moja! Pamoja na Tabia zake zingine Lakini sijui

Ila naweza kusema kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga na WCB na hata ondoka kwa Mazuri watagombana sana Kupitia Media na huo utakuwa mwisho wa HARMONIZE ......Kama huamini haya niyasemayo Jaribu kufuatilia interview zote za HARMONIZE hivi karibuni utaelewa nacho ongea......Managament yake na Harmonize hamna dalili nzuri siwezi sema ni Kisa MZUNGU ila Harmonize anatabia fulani hivi si nzuri japo sijaishi nae!.....Harmonize nilicho jifunza ana Nidhamu ya woga na hii itamfanya asepe Mapema WCB

Dalili ya Mvua ni Mawingu.....Wazungu wasema Time Will Tell....Ngoja nitunze akiba ya Maneno yangu lakini akili yangu inanituma na kunambia kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB na watagombana na Kundi la WCB

Ingekuwa ni uwezo wangu ningezuia hiki kisitokee lakini sina jinsi mm ni mshabiki wa kawaida tuu!!! Ila yule MZUNGU SIJUI kama WCB wamemkubali nafikiri hapana......Japo HARMONIZE KUWA na MZUNGU mimi sio sababu ya Kusema Kuwa HARMONIZE ATAJIENGUA WCB!

Ila kwa Dalili hizi......mmmmmmh

Danya
Kumsemea mtu humjui sijui ni umbea au utabiri!
 
Mfukuzeni basi, si mmeamua kumfukuza..?
Tutaenda nae kwetu Chitohori kucheza mziki wa Singeli na atakuwa mrithi wa Tongolanga.
 
Nimejaribu kusoma katikati ya mistari andiko hili, sijaona kosa hasa la huyu anayetuhumiwa.

Mwandishi amejichanganya kinoma, mara interview, mara nini,,,,sasa kosa lake la kinidhamu ni nini?

Nahisi harufu ya chuki hapa. Na huyu mleta mada anaonekana ni mtu wa karibu kwenye management ya WCB.

Tatizo letu wa Afrika tunapenda kunyenyekewa. Ukimsaidia mtu kutoka kwenye lindi la matatizo, unataka aendelee kukuabudu, akionyesha mafanikio fulani tofauti na uliyoyategemea inakuwa kinyongo!

Mwisho, riziki inatoka kwa Mungu, si Diamond aliyemfikisha hapo, ila Mungu kupitia kwa Diamond akamwona huyo kijana na kumwinua hatua flani. Anaweza kuendelea kumwinua zaidi na zaidi hata akiachana na Diamond.
 
Jamani interview ni kitu kigumu sana unaweza kuwa msomi usijue kuhojiwa ni kama hotuba huwa zina wenyewe. Kwa hapa bongo msanii anayejua interview ni Omy dimpoz tu wengine wanaunga tu. hawajui chochote yaan bora wamejibu swali tu yaan Dimpoz akimaliza interview husikii gazeti likiendeleza interview wala udaku kinachobaki ni chuki wivu na pongezi tu kwa dimpoz sio siri huwa anaua kabisa


Jamaa wa kupumuliwa? Sawa.
 
We tokwa povuu wenzio hadi picha za kupost wanaomba ruhusa japo walikataa sembuse namna ya kuzungumza kwenye interview, mwandish achana na mawazo ya kuombea watu NJAA
 
Akitoka wcb ataisainiwa na
Baraka da Prince kwenye lebo yake
 
Back
Top Bottom