Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story.Wewe ni mzee? Are you over 45?
Yani watu wajuaji na wajinga kama wewe ni pesa ya WCB unajiona ku-side kwa harmonize ni kutoipa hela WCB au kuangalia na kusikiliza Wasafi ni kutoipa hela Clouds Kalagabaho.
Simba toka mbuga ya Tandale, naona swala mnafosi ili muwe salesale viuno vidogo mnataka pensi ya pepe kale si mlitaka kiti amewapa hadi kitanda mkalale."Inauma ila itabidi uzoee"
We don't have nannies in Western Monroe what do ya mean?kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story.
kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi storyWe don't have nannies in Western Monroe what do ya mean?
Old man We don't have nannies in Western Monroe what do ya mean?kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story
mkuu punguza jazba na wivu,Simba toka mbuga ya Tandale, naona swala mnafosi ili muwe salesale viuno vidogo mnataka pensi ya pepe kale si mlitaka kiti amewapa hadi kitanda mkalale.
kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi storyOld man We don't have nannies in Western Monroe what do ya mean?
Muda muafaka Vannyboy akae chini ajiulize ametoka wapi na anakwenda wapi. Ikiwezekana abadili menejment yake.
Old man, simuonei wivu nimependa sana ubunifu wao na nitaendelea kuupenda.mkuu punguza jazba na wivu,
mwacheni kijana wa watu atafute riziki yake.
Old man We don't have nannies in Western Monroe what do ya mean?kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story
Huamini,unashangaa au unauliza au hutaki kukubali kwamba jamaa anakunja 400 m per yr in 3yrs
hebu kunywa juice ya malimao utulize wenge.Old man, simuonei wivu nimependa sana ubunifu wao na nitaendelea kuupenda.
Nina album ya Harmonize yote i support everything anafanya maana ninafahamu kuichukia Clouds na Kuipenda Wasafi ni ujinga nitakuwa najitia majakamoyo mwenyewe tu wao wananufaika
Pata mvinyo wa komamanga ufungue cerebrum hiyo.hebu kunywa juice ya malimao utulize wenge.
hebu kunywa juice ya malimao utulize wenge.Pata mvinyo wa komamanga ufungue cerebrum hiyo.
hataki kabisa yaaniMbona hata alikiba mabenki kibao wamemtaka ila sema yy apendi show off kwahiyo amewakatalia.
Rayvan?BILA KUPITIA KWA SIMBA HUWEZI PATA DEAL YEYOTE (ILA UNAPATA DEAL ZAIDI BAADA YA KUMWAGANA NAYE):
1. ZARI - Balozi wa sabuni gani sijui , DANUBE etc
2.TANASHA - Maarufu ,ghafla ana trend kama mwanamuziki. Angekaa mwaka mmoja zaidi angeoata deals za ubalozi kama hizo
3.HARMONIZE - balozi wa CRDB , soda gani sijui
4.SAPENGA - akawa Brand si ya kitoto
5.etc etc
MSHUKURUNI SIIMBA NDIYE NGAZI YENU NYIE KENGE
Well saidAngekuwa bado WCB hilo deal domo angelidaka juu kwa juu..
Ni wakati sasa wa Rayvan naye kujiongeza!
Yeah.. maana itamfanya apate show off