Harmonize hawezi baki salama ana talent kubwa

Harmonize hawezi baki salama ana talent kubwa

Ukiachana na maisha yake ya ajabu ajabu when it comes kwenye music na mimi nimeanza kulielewa konde Bro is blessed sana
 
Naingia moja kwa moja.

Wanasema gift and curse ni vitu viendavyo sambamba. Hili tumeona kwa late Michael Jackson, Whitney Houston na wengineo.

Kwenye suala la uandishi wa mashairi mazuri mr Harmo amefikia viwango vya hatari sana. Nimetoka kuangalia video yake: MWENYEWE, ameachia masaa machache yaliyopita huko YouTube, nimejiridhisha kwa masikio yangu mimi mwenyewe kwamba sio akili ya kawaida inaweza kuzalisha mashairi hayo kwa ubunifu.

Kuna namna ambayo sio salama anatumia huyu jamaa ... Tuombe hicho kinachompa uwezo huo wa ubunifu asiwe mwanamke, k.... Wala asiwe shetani maana inashindikana kabisa kuzuia kutikisa kichwa usikilizapo mashairi yake, ni matamu mno.
Akapime Afya Kwanza
 
nianze kua shabiki wake sasa[emoji3][emoji3][emoji3]...ile nitaubeba ni kali sana na hii mwenyewe kapita fresh
Hahhah huyu hata ukimchukia inafikia hatua nyimbo zake unazipenda yaani kuna nyimbo zake zinagusa sana kuna moja inaitwa dunia
 
Hahhah huyu hata ukimchukia inafikia hatua nyimbo zake unazipenda yaani kuna nyimbo zake zinagusa sana kuna moja inaitwa dunia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]si ile anamtaja had mwijaku??.....anasema tuombeane mambo mema??...konde ukiacha mambo yake nje muziki ni msanii mkali sana diamond atakua anajuta kuipoteza hii dhahabu
 
Music bila kiki haiwezikani. Skendos ndo ufanya ujulikane. Usione ommy dimpos anavaa sketi
 
Music industry dunia nzima ipo undercontrol bila kupaishwa utaishia kuimba vilabuni tu
 
Huwezi toka music industry bila kuuza nafsi yako kwa shetani chief.
Ukweli mchungu, japo sio wote mkuu... mbona kuna wasanii wa kibongo hawaamini ushirikina na wanaponda sana hizo mambo au wanajifaragua tu mbele za camera.
 
Music industry dunia nzima ipo undercontrol bila kupaishwa utaishia kuimba vilabuni tu
Kudaadeki umenisema kabisa hapa, niko katika hatua za ukigoni kuachana na mambo ya mziki..ikifika 2024 sijatoboa naacha mazimaa!
 
Ukweli mchungu, japo sio wote mkuu... mbona kuna wasanii wa kibongo hawaamini ushirikina na wanaponda sana hizo mambo au wanajifaragua tu mbele za camera.
Nani keshawahi kili anashiriki, ushirikina ni just a part tu
 
Back
Top Bottom