ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Bongo wasanii wote hamna kitu,, acheni kusifiana ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio akili ya kijinga na chuki hujasikiliza wimbo au kuona unasema ni kibaya chako kizuri kipo wapi,Wimbo mbaya Sana japo sijausikiliza
Akapime Afya KwanzaNaingia moja kwa moja.
Wanasema gift and curse ni vitu viendavyo sambamba. Hili tumeona kwa late Michael Jackson, Whitney Houston na wengineo.
Kwenye suala la uandishi wa mashairi mazuri mr Harmo amefikia viwango vya hatari sana. Nimetoka kuangalia video yake: MWENYEWE, ameachia masaa machache yaliyopita huko YouTube, nimejiridhisha kwa masikio yangu mimi mwenyewe kwamba sio akili ya kawaida inaweza kuzalisha mashairi hayo kwa ubunifu.
Kuna namna ambayo sio salama anatumia huyu jamaa ... Tuombe hicho kinachompa uwezo huo wa ubunifu asiwe mwanamke, k.... Wala asiwe shetani maana inashindikana kabisa kuzuia kutikisa kichwa usikilizapo mashairi yake, ni matamu mno.
nianze kua shabiki wake sasa[emoji3][emoji3][emoji3]...ile nitaubeba ni kali sana na hii mwenyewe kapita freshNyimbo nzuri sana
Hahhah huyu hata ukimchukia inafikia hatua nyimbo zake unazipenda yaani kuna nyimbo zake zinagusa sana kuna moja inaitwa dunianianze kua shabiki wake sasa[emoji3][emoji3][emoji3]...ile nitaubeba ni kali sana na hii mwenyewe kapita fresh
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]si ile anamtaja had mwijaku??.....anasema tuombeane mambo mema??...konde ukiacha mambo yake nje muziki ni msanii mkali sana diamond atakua anajuta kuipoteza hii dhahabuHahhah huyu hata ukimchukia inafikia hatua nyimbo zake unazipenda yaani kuna nyimbo zake zinagusa sana kuna moja inaitwa dunia
kweli umeamua kukaza fuvu ata ali k, marioo, j nature, prof j kwenye peak? Hujawahi kumkubali mtu yoyote apa bongo 🙄Bongo wasanii wote hamna kitu,, acheni kusifiana ujinga
Ukweli mchungu, japo sio wote mkuu... mbona kuna wasanii wa kibongo hawaamini ushirikina na wanaponda sana hizo mambo au wanajifaragua tu mbele za camera.Huwezi toka music industry bila kuuza nafsi yako kwa shetani chief.
Kudaadeki umenisema kabisa hapa, niko katika hatua za ukigoni kuachana na mambo ya mziki..ikifika 2024 sijatoboa naacha mazimaa!Music industry dunia nzima ipo undercontrol bila kupaishwa utaishia kuimba vilabuni tu
Nani keshawahi kili anashiriki, ushirikina ni just a part tuUkweli mchungu, japo sio wote mkuu... mbona kuna wasanii wa kibongo hawaamini ushirikina na wanaponda sana hizo mambo au wanajifaragua tu mbele za camera.
Kutoboa ni mchakato na sio suala la kuamka tuKudaadeki umenisema kabisa hapa, niko katika hatua za ukigoni kuachana na mambo ya mziki..ikifika 2024 sijatoboa naacha mazimaa!