Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Maisha ni yakee mzee amna mtu atamshauri kwa anayo yafanya wasanii wa bongo wanapenda kiki mnoo aisee
 
Hayo ni maamuzi yake. Wewe endelea na yako ambayo unaona yanastahili.
 
Mapenzi yaache kama yalivyo. Wanandoa wakigombana shika jembe ukalime. Hujui Harmonize anapewa nini mpk anabadili dini
 
Kumbuka kiumbe huyu mwanamke alifanya hadi mwamba SAMSON akate nywele
 
Dini zililetwa na wazungu na warabu ili waibe mali zetu na kutuchukua kama watumwa.
Huwezi kukosa utamu kisa dini
Kweli kabisa mkuu,hata ng'ombe na paka hawawezi kufanya ujinga huo kwani wanajua maana ya kusujudu ni nini .Na haijakaa poa zaidi kumsujidia mwanamke wakati yeye mtoto wa kiume.
 
Kwa nimjuavyo RAJABU, hasa baba yake huko CHOTOHOLI, na ukizingatia wilaya atokayo ambayo 90% ni waislam wenye msimamo mkali, na ambao wanakimbilia huko Msumbiji.

Bila kupepesa maneno HARMONIZE HAWEZI NA HATIBADILI DINI.
 
Ila Kajala na Shilole ni madada mazuri sana, mimi naongelea tu vile yalivyo, kila kitu kikubwa kuanzia kifua hadi mahips hadi makalio hadi miguu..babeq...yanaonekana matamu kweri kweri..simlaumu dogo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…