Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza kuta nawe unajibembelezea huko namba -A yako taratiiibu.
Jf bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa mkuu,hata ng'ombe na paka hawawezi kufanya ujinga huo kwani wanajua maana ya kusujudu ni nini .Na haijakaa poa zaidi kumsujidia mwanamke wakati yeye mtoto wa kiume.Hana akili hata kama engekuwa sio muslam lakini kumsujudia mtu hapana amevuka mipaka mkuu.
Kajala mtoto wa kinyamwezi anajua kuifinyia kwa ndani, njomba nchumari lazima apate wenge la huba dadadeki!!Never underestimate the power of pu$$y
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kajala ni mtaalam wa kuifinyia kwa ndaniHuyu dada alimpa nini, awafundishe na wenzie
Inafinywa Kwa ndani...mfinyo usio kuwa na shaka ndani yakeHuyu dada alimpa nini, awafundishe na wenzie
wasanii wa bongo wanapenda kiki mnoo aiseeTumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Hayo ni maamuzi yake. Wewe endelea na yako ambayo unaona yanastahili.Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Inafinywa Kwa ndani...mfinyo usio kuwa na shaka ndani yake
Kajala ni mtaalam wa kuifinyia kwa ndani
Hatar🤣🤣🤣Kwa kweli 😂😂😂
Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwaNamba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.
Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume 😅
Kumbuka kiumbe huyu mwanamke alifanya hadi mwamba SAMSON akate nyweleTumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Kweli kabisa mkuu,hata ng'ombe na paka hawawezi kufanya ujinga huo kwani wanajua maana ya kusujudu ni nini .Na haijakaa poa zaidi kumsujidia mwanamke wakati yeye mtoto wa kiume.
Sawa.Dini zililetwa na wazungu na warabu ili waibe mali zetu na kutuchukua kama watumwa.
Huwezi kukosa utamu kisa dini
Bado weweKho khoh khoh yawyaw robertooooooo jeshiiiiii
Hakuna Yesu hapo ni mbususu ya Kajala tuuuAmechagua fungu jema...
Kwa YESU kila goti litapigwa...