Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Maisha ni yakee mzee amna mtu atamshauri kwa anayo yafanya
Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.

Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.

Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.

Ama kweli dunia simama nishuke...
wasanii wa bongo wanapenda kiki mnoo aisee
 
Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.

Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.

Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.

Ama kweli dunia simama nishuke...
Hayo ni maamuzi yake. Wewe endelea na yako ambayo unaona yanastahili.
 
Mapenzi yaache kama yalivyo. Wanandoa wakigombana shika jembe ukalime. Hujui Harmonize anapewa nini mpk anabadili dini
Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwa Namba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.

Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume 😅
 
Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.

Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.

Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.

Ama kweli dunia simama nishuke...
Kumbuka kiumbe huyu mwanamke alifanya hadi mwamba SAMSON akate nywele
 
Kwa nimjuavyo RAJABU, hasa baba yake huko CHOTOHOLI, na ukizingatia wilaya atokayo ambayo 90% ni waislam wenye msimamo mkali, na ambao wanakimbilia huko Msumbiji.

Bila kupepesa maneno HARMONIZE HAWEZI NA HATIBADILI DINI.
 
Ila Kajala na Shilole ni madada mazuri sana, mimi naongelea tu vile yalivyo, kila kitu kikubwa kuanzia kifua hadi mahips hadi makalio hadi miguu..babeq...yanaonekana matamu kweri kweri..simlaumu dogo!!
 
Back
Top Bottom