Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Hakuna hata cha mtu kubadilisha dini sijaona shida yenu mnataka mtu aishi mwenyewe nakuwa na kila mtu asiyekuwa na malengo naye ndio furaha ya wanadamu .
 
Zari amekua popo
 
Si kweli kwamba baada ya jela ndo alianza umalaya(kajala mwenyewe alisota sana huko jela). Kajala alishawahi toka na petit. Paula mwenyewe kamzaa akiwa sekondari. So tabia kaianza kabla ya ndoa na muoaji alioa akijua kabisa tabia na akili za kajala
Aliolewa na yule mumewe walifunga ndoa wakaja pata msala wa kutakatisha feza sjui na kuuza nyumba iliyokuwa imezuiwa kuuzwa na mahakama nafikiri....jamaa akafungwa kajala akaingia mtaani nafikiri ndo alianza rasmi umalayer
 
Aunt si ametulia zake na yule bwana mdogo wake enh...
 


Tupeleke kwenye group za umbea hili ni swala binafsi watu wanabadili dini kila siku.
 
ni mbinu tu ya kibiashara, acheni dogo apige pesa.

this is his time to shine and make more money.
 
Yeah, what do you think about the power of herbs?I think doesn't lie at all....
 
Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Hela Hela Hela, Atafunga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…