Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEMA SEPETU ANA MIAKA 30?? AISEE AKIWA MISS TZ MI NILIKUA SIJAFIKA 18 HAFU SAHIVI NIMEMZIDI ETI.
😂kumuombea mtu asifilisike ni roho mbaya kumbe!?... where are we going my peep😂😂😂🙌🚮Numbisa una roho mbaya sana kwahiyo akifilisika wewe utafaidika na Nini?
Imekaa njema sana kwao.@harmonize_tz amethibitisha kuwa anaamini @kajalafrida ni mwanamke sahihi kwenye maisha yake! Akijibu swali la @mwijaku amediriki kutamka kuwa usahihi wa Kajala kwenye mahusiano yake ni 1000%
Uzi tayari
😂😂😂 Kanamalizia hasira kwenye fegi na kula.Diamond anamchanisha msamba huyo dogo , albam ya Mboso sjui atatumia Kiki gan kuizima🤣🤣🤣🤣
Wikipedia kamusi elezo huruMiaka ya Wema Sepetu imestack
Waache uongo na wenyewe wikipedia, inamaana mm mkubwa kwa wema??Wikipedia kamusi helezo huruView attachment 1728568
Harmo kama harmo!Waache uongo na wenyewe wikipedia, inamaana mm mkubwa kwa wema??
Alafu harmo kanikera sanaa, yes tuna msiba mzito kweli ila nilivoona video clip akilia nikaona anataka kutembelea msiba huu mzito kufanya kiki.
Hiv unaliaje ukijionyesha kwenye camera na kupost? Means unafanya dhihaka eee, wangempost wengine ningeamini sure jamaa kaumua but unajipost???
Yani unapanga kabisa kuwa nirekodini nikilia then nipost?
Ujinga kama huu unatakiwa kuisha. Fu** u harmooo.
Pumbavu kabisaaa.
Kanikera sanaa, imenibid nitukane tu huenda hasira zingepoa. Majitu mengine sijui yapoje mwee🤔Harmo kama harmo!
Huyu jamaa anapenda Kiki mpaka keroWaache uongo na wenyewe wikipedia, inamaana mm mkubwa kwa wema??
Alafu harmo kanikera sanaa, yes tuna msiba mzito kweli ila nilivoona video clip akilia nikaona anataka kutembelea msiba huu mzito kufanya kiki.
Hiv unaliaje ukijionyesha kwenye camera na kupost? Means unafanya dhihaka eee, wangempost wengine ningeamini sure jamaa kaumia but unajipost???
Yani unapanga kabisa kuwa nirekodini nikilia then nipost?
Ujinga kama huu unatakiwa kuisha. Fu** u harmooo.
Pumbavu kabisaaa.
Vitu vingine ni bora tu unyamaze.Huyu jamaa anapenda Kiki mpaka kero
aisee 2006 nilikuwa nilikuwa std ii with 8 yrs. Imekuaje wema anipite mwaka mmoja?Wikipedia kamusi helezo huruView attachment 1728568
Mmh,huu uongo! Lzm wamepunguza
SiaminiKumbe wanapishana miaka kidogo tu
Soon....Naombea asifilisike. Maisha ya insta gharama sana
[emoji23][emoji23]uongo mtupu,hiyo kajala mwnyewe atakuwa kwnye 40WEMA SEPETU ANA MIAKA 30?? AISEE AKIWA MISS TZ MI NILIKUA SIJAFIKA 18 HAFU SAHIVI NIMEMZIDI ETI.
Mkuu kapicha basi ka mama gaudeMimi Mama Gaude wangu ni 3700%
Alichukua umiss tz akiwa na miaka 10 lundenga ashtakiwe kwa kumshirikisha mtoto katka shughul za watu wazimaWikipedia kamusi helezo huruView attachment 1728568